econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mawasiliano ya simu, milioni kumi kwenye akaunti na pia CCTV camera.Kama vipimo vya maabara vimethibitisha! Sijui kama atachomoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawasiliano ya simu, milioni kumi kwenye akaunti na pia CCTV camera.Kama vipimo vya maabara vimethibitisha! Sijui kama atachomoka.
Huyo mwenye kapeloBila picha
Usiwe na haraka subiria kesi ianze. Yote hayo yatajibiwa ndio maana kapelekwa mahakamani kesi isikilizwe na haki ipatikane.Namsikitikia Nawanda jinsi alivyochafuka na hii kashfa.Yote kayataka mwenyewe tu kwa kukosa vigilance.
Huyu Binti kwa ripoti ya Daktari imethibitisha kuwa kitu butu kiliingizwa kwenye sehemu yake ya haja kubwa.
Na kwamba Polisi walipokwenda kumkagua chumbani kwake Binti walichukua tishu na toilet papers ambazo Binti anadai kuzitumia alipotoka kukutana na Nawanda,wamezipeleka kwa Mkemia kuthibitisha kwenye vinasaba kama tishu hizo Zina manii za mtuhumiwa.
Kitu butu ni dhana Pana,inaweza kuwa Uume,Uume wa bandia au chochote kile kisichokuwa na ncha.Hata tango au karoti inaweza kuwa kitu butu tu.
Binti atathibitisha vipi kama mtuhumiwa alimuingilia kinyume na maumbile kwa nguvu?!..baada ya tendo Binti anasema aliondoka kuelekea chuo,Polisi ameenda kushtaki kesho yake!!
Huo muda wote hapo,kwa watu waliodhamiria kukutengenezea kashfa unatosha kabisa kukumaliza.
Kwa muktadha wa hii kesi,Jamhuri wanategemea hizo tishu zilizoenda kwa Mkemia Ili kumtia hatiani mtuhumiwa.Hizo tishu anaweza kuwa alijifuta manii baada ya kufanya mapenzi kwa njia ya Kawaida.
Hicho kitu butu madaktari wanachosema kiliingia kwenye sehemu ya haja kubwa ya muhusika kinaweza kuwa chochote na sio lazima uwe Uume wa mtuhumiwa!
Huyu Binti kama alivyosema mwenyewe kuwa alikuwa na mahusiano na mtuhumiwa,Nina mashaka kuwa ametumiwa na mahasimu wa Kisiasa wa Nawanda.
Maana kiukweli Nyota yake ilikuwa inan'gaa sana.
Mahakama itende Haki,kama Yahaya Nawanda ana makosa kwenye hili aadhibiwe.Kama Hana Makosa asafishwe,na alipwe fidia kubwa.
Anacheka kwa dharaaaau anajua hamna kesi hapo ameshaimaliza kimila hapo ni mzazingaombwe kuzuga kuwa sheria imefuata mkondo wake.Huyo mwenye kapelo
Na nani. Nani anamwonea?Nawanda anaonewa.
Kaonewa na nani?. Ndio maana tupo mahakamani haki itendeke.RC kaonewa. Haki itendeke
Wacha we !!!Nikisikiliza shuhuda kama hizi, naona Mbinguni naenda
Ndo hivyo! Usiniite nikutupie appleWacha we !!!
Hata hiki kicheko chake hapa anauhaki ameshamaliza mchezoKwa mahakama hizi Rc Nawanda hafungwi mi nimekaa palee mtayakumbuka maneno yangu.
Mbona walawiti wengine Huwa hawaachiwi?Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti
Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke
Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.
====
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.
Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022
Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.
Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.
Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.
Pia soma
- Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo
- RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda
Sasa unataka afungwe Kwa kosa gani!? Wewe waliokulawiti wamefungwa wangapi?Kwa mahakama hizi Rc Nawanda hafungwi mi nimekaa palee mtayakumbuka maneno yangu.
huyu ni Dkt ujue halafu ni mwanaccmMbona walawiti wengine Huwa hawaachiwi?
Huyu si ni nduguyo katika Imani!? Mbona unajifanya hamjuani?Mbona walawiti wengine Huwa hawaachiwi?
Sina Haraka Mkuu,nimetoa maoni tu.Usiwe na haraka subiria kesi ianze. Yote hayo yatajibiwa ndio maana kapelekwa mahakamani kesi isikilizwe na haki ipatikane.
Alikwenda hospitali ndiyo. Shida itakuwa nani sasa kafanya hivyo? Maana tuhuma tu siyo ushahidi; ushadi ni kuithibitishia mahakama kwamba aliyefanya hivyo ni huyu mkuu. Nani aliona? Kama aliona ataonyeshaje alivyoona, na unajua mawakili walivyo vibaya kwenye cross-examination, wanakutoa kwenye reli hata kama una nondo. Yaani, ngoja tusubiri maana nilisikia kama upelelezi umekamilika.Hapo kwenye ku prove kama kweli alilawitiwa ndipo penye mtihani. Swali ni Je, baada ya kulawitiwa alikwenda hospital na kupimwa?
Je, kuna ushahidi wa manii za mtuhumiwa kwenye tigo ya binti?
Maswali ni mengi sana.
😂 😂 😂 😂Hawa mabinti ni wa kuwa nao makini sana, hivi karibuni nipo na demu mmoja ananiambia nimtie kidole cha mkundun ete anasikia raha, nikaona yale yale ya Nawanda.. nikamuambia siwezi mie hiyo kazi