Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Ni Mali ya serkali hiyo!Hio si ni hongo ya kumziba mdomo muhanga, na kama hazijadaiwa ni haki ya binti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mali ya serkali hiyo!Hio si ni hongo ya kumziba mdomo muhanga, na kama hazijadaiwa ni haki ya binti
Wewe mrembo tu mbonaKuwa makini na JF, unayemuita mrembo aweza kuwa Baba yako mzazi
Hapo hakuna kesi, CCM inanmtengenezea mazingira ya kukutwa hana hatia maana wafiraji na wasagaji wamejazana huko CCMAmeburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti
Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke
Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.
====
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.
Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022
Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.
Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.
Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.
Pia soma
- Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo
- RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda
Kama ingekuwa nchi kama Marekani ambako kuna makampuni ya uchunguzi yaliyosajiliwa kampuni mojawapo ingepewa kazi na wakili wa mtuhumiwa kuchunguza credibility ya huyo binti yaani matendo yake ya nyuma , kama aliwahi kudanganya kwa masuala ya kisheria, ikithibitika aliwahi kuongopa basi kesi ingetupwa. Rejea kesi ya Rais wa zamani wa banki ya Dunia ilikuwa kama hii. Kuna binti mfanyakazi wa hoteli alimpakazia kuwa amembaka, Huyo binti anatoka Africa Magharibi, basi hiyo kampuni ikafanya uchunguzi ikaonekana huko nyuma huyo binti wakati anaomba visa kuingia Marekani aliwahi kudanganya hivyo sio credible; kwa,msingi huo kesi ya ubakaji dhidi ya Rais huyo wa zamani wa benki ya dunia ikatupwa.
Wilaya zipo nyingi kuliko mikoa.Ni mara chache watu kupanda kutoka Mkuu wa Wilaya mpaka kuwa Mkuu wa Mkoa.Wengi huishia hapo hapo na kupotea.Nyota ipi huyo kil.aza alikua nayo? Yaani waache kumpa kesi Mpina wampe huyo zero brain? We usubiri issue kuwa kwenye uke au njia ya haja kubwa kwamba wakemia hawajui tofauti au ndio unaleta ujuaji tu?
Nyie mkae kwa kutulia subirini ushahidi na vielelezo I believe hata kuna message alimtumia kumuomba radhi kumuingilia so yote yatawekwa wazi tu.
Hapo sasa!Nyota ipi huyo kil.aza alikua nayo? Yaani waache kumpa kesi Mpina wampe huyo zero brain? We usubiri issue kuwa kwenye uke au njia ya haja kubwa kwamba wakemia hawajui tofauti au ndio unaleta ujuaji tu?
Nyie mkae kwa kutulia subirini ushahidi na vielelezo I believe hata kuna message alimtumia kumuomba radhi kumuingilia so yote yatawekwa wazi tu.
Jichanganye tuWewe mrembo tu mbona
😂Asichomokee kwa kipi? Km afande ramaa kila mtu aliona akiwa anaulilia na kuurudisha ndani ukiwa umechomoka, na alichomoka.ndo sembuse huyo Ex RC? LOL
Mtuhumiwa akizidai tu hizo pesa atakuwa amemulika kwenye uthibitisho kwamba katika siku tajwa, saa na mahali alikutana na huyo msichana na akamtendea kitendo kilichozidi mahusiano ya kimapenzi ambayo mwenzie yalimsababishia madhara ya kimwili na kisaikolojia bila ridhaa hivyo alivunja sheria.Wacha haki itendeke. Swali langu, Je, ikithibitika ni kweli Nawanda alimlawiti yule binti, zile pesa milioni 10 alizopewa binti atazirudisha au zitakuwa zake au??
Wanasheria mtusaidie hapa. Maana binti aliulizwa ulipewa kiasi gani na Nawanda. Akajibu, alipewa milioni 10 cash. Anazo na hajazitumia hata shilingi.
Kosa la kubaka na kulawiti sina hakika kama lina dhamana.Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti
Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke
Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana.
====
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mwanza na kusomewa shitaka moja la kumwingilia kinyume na maumbile Tumsiime Ngemela (21) katika eneo la Rock City Mall jijini Mwanza.
Mshtakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022
Mbele ya Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, Erick Maley, Waendesha mashtaka wa kesi hiyo ambao ni Wakili wa serikali Magreth Mwaseba na Martha Mtiti waliitaja kesi hiyo kuwa ni kesi namba 1883 ya mwaka 2024.
Hatahivyo mshtakiwa alikana shtaka hilo na yuko nje ya dhamana baada ya kukamilisha masharti aliyokuwa amewekewa ambayo ni kuwa mtumishi wa serikali pamoja na bondi ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh 5 milioni.
Baada ya kukamilisha masharti hayo, Mshtakiwa yupo nje ya dhamana hadi Julai 16, 2024 ambapo kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa hoja za awali huku upande wa mlalamikaji ukitakiwa kwenda na mashahidi.
Pia soma
- Binti anayedaiwa kulawitiwa na aliyekuwa RC wa Simiyu: Kesi iende Mahakamani, RC alikuwa mpenzi wangu, walimpa mama Tsh. Milioni 3 ili wazime kesi
- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT
- Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo
- RC Said Mtanda wa Mwanza hastahili kuwa kiongozi wa umma kwa kutaka kuzima kesi ya Binti Tumsiime anayedai kulawitiwa na Dkt. Nawanda
yap, kosa la kulawiti hata kubaka, lina dhamana. hawezi kukosa dhamana, lazima ameenda home.Wanasheria watatusaidia hapa
yana dhamana mkuu.Kosa la kubaka na kulawiti sina hakika kama lina dhamana.
subiri hadi mwisho tuone.Hamna kesi hapo
haaaaa seminer leader kaniangusha bwana dahh katoa boko kweupe.Afutiwe pHD ameenda nje ya code of ethics
Yesu anasemaje kuhusu kulawiti?yap, kosa la kulawiti hata kubaka, lina dhamana. hawezi kukosa dhamana, lazima ameenda home.
1 WAKORINTHO 6:9 INASEMAYesu anasemaje kuhusu kulawiti?
Ya kubaka ndiyo haina dhamana.Sikuwahi kujua kama kesi ya ulawiti Huwa Ina dhamana
Watu sampuli hii ndiyo hata akiona kinyesi cha mtu mahali ukuni unamsimama.View attachment 3037709
Jamaa bingwa la vinyeo hapa lina panda mti ila limeona kishimo cha mti mawazo hayako hapo kashakumbuka kijambio cha mtu hapo shenzi