Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Huwezi kuelewa nachomaanisha.Tunaongelea maandiko cyo race!! Hapo hamna sehem yenye uhusiano n race
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuelewa nachomaanisha.Tunaongelea maandiko cyo race!! Hapo hamna sehem yenye uhusiano n race
Who told you that the current Jewish state is that spoken in bible???? Am a Christian and don't agree that the today Israel nation is the one which we learned in bible as the chosen nation. Go and readDo Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?
Give them again1 Nadhani kwanza ungeanza hivi Jee Israel(jews)wanamuamini Jesus?
2 Weka Aya inayosema Israel ni chosen peoples of god?
3 Muhammad kazaliwa Makka na dini ya kiislamu makaazi yake makuu yapo huko, Moses kazaliwa Israel lakini kakulia Egypt makao makuu ya Jews yapo Israel, Jesus kazaliwa Israel makao makuu yapo wapi?? Tanzania au Vatican,Italy?
بِسْمِ اللهِ الرَّحْمنِ الرَّحِيمِ
In The Name of Allah, The Beneficent, The Merciful قُلْ يَا أَيُّهَا الْكَافِرُونَ
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
وَلَا أَنَا عَابِدٌ مَّا عَبَدتُّمْ
وَلَا أَنتُمْ عَابِدُونَ مَا أَعْبُدُ
لَكُمْ دِينُكُمْ وَلِيَ دِينِ
1. “Say: O you disbelievers,"
2. “1 worship not what you worship,"
3. “Nor do you worship Whom I worship,"
4. “Neither shall I worship what you worship,"
5. “Nor will you worship Whom I worship,"
6. “To you be your religion, and to me my religion.”
Umejieleza vyema, ila nawe umefungwa na minyororo ya dini na madhehebu inayokufanya usiijue kweli. Maarifa hautayapata ndani ya vifungo hivyo. Utahukumu yote kupitia yale tu yaliyojazwa akilini mwako na itikadi hiyo uijuayo tu.Aya 135-138: Na Wakasema: Kuweni Mayahudi Au Manaswara
Maana
Nawakasema:Kuweni MayahudiauWakristomtaongoka.
Dhamiri katika “wakasema” inawarudia watu wa Kitabu; maana yake walisema Mayahudi kuweni Mayahudi mtaongoka kwa sababu uongofu, wanavyodai wao, unatokana na wao tu peke yao. Na Wakristo nao walisema hivyo hivyo.
Mwenyezi Mungu anamwambia Mtume wake Mtukufu Muhammad (s.a.w.): “Sema bali (tunashika) mila ya Ibrahim.” Yaani hatuwafuati Mayahudi wala Wakristo, bali tunafuata mila ya Ibrahim. Tumeyataja yanayoelekeana na haya katika Aya ya 111-113 ya sura hii .
Mjadala Wa Kimantiki
Huenda mtu akasema: Mayahudi wamedai kuwa na haki, Wakristo nao wakadai kuwa na haki, na Muhammad (s.a.w.) naye aka-sema bali Ibrahim ndiye mwenye haki sio Mayahudi wala Wakristo; na kauli zote hizi ni madai. Sasa basi ikiwa itafaa kwa Mayahudi na Wakristo kutumia mantiki haya yasiyofaa, basi itakua haifai kuyafa-nanisha kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake; Je, kuna njia gani?
Jibu: Makusudio ya: “Bali (tunashika) mila ya Ibrahim” ni kuyabatilisha madai ya Mayahudi na kuwanyamazisha, na wala sio kuthibitisha uhakika hasa. Inawezekana mtu kuipinga hoja ya mtesi wake kwa kitu ambacho sio hoja yake bali ni hoja iliyo mfano wake; kama vile kuyavunja madai ya Wakristo kwa Adamu ambaye hana baba; pale waliposema kwamba Masih ni Mungu, kwa sababu hana baba. Na Adam naye hana baba, lakini hawamwiti Mungu. Aina hii ndiyo inayoitwa ‘mjadala wa kimantiki.’ Kwa hiyo njia ya kuwanyamazisha Mayahudi na Wakristo ambayo tunayo ni:-
Mayahudi na Wakristo wanahitalifiana kidini na kiitikadi. Kila kundi linalikufurisha kundi jingine, lakini wakati huo huo wanaafikiana juu ya usahihi wa dini ya Ibrahim. Kwa dhahiri kabisa ni kwamba Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo bali aliacha dini za upotefu akashikamana na dini ya haki na hakuwa katika washirikina. Hakuwa Yahudi kwa vile hakusema kuwa Uzayr ni mtoto wa Mungu, wala hakumfananisha Mwenyezi Mungu; kama walivyodai kwamba Mwenyezi Mungu ni mzee mmoja mwenye mvi za kichwani na kidevuni. Vile vile Ibrahim hakuwa Mkristo kwa sababu hakusema Masih ni mtoto wa Mungu kwa vile hilo ni shirk.
Maadam Mayahudi na Wakristo wanaikubali dini ya Ibrahim, basi inawalazimu wawe ni wenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu, bali pia wanalazimika wahiji Al-Ka’aba tukufu; kama alivyokuwa Ibrahim akiitakidi na kufanya, na kama alivyoitakidi Muhammad na kufanya; na wao hawakumpwekesha Mwenyezi Mungu wala hawakuhiji. Kwa hiyo wao ni waongo; na Muhammad ni mkweli na mwaminifu juu ya dini ya Mwenyezi Mungu na mila ya Ibrahim.
Kwa maneno mengine ni kwamba kushikamana na lile lililoafiki ambalo ni dini ya Tawhid aliyokuwa nayo Ibrahim na aliyonayo Muhammad hivi sasa, ni bora kuliko kuchukua lile lenye hitilafu ambalo ni Uyahudi na kumfananisha kwake Mwenyezi Mungu Mtukufu, na Ukristo na utatu wake.
Semeni:Tumemwamini Mwenyezi Mungu.Yaani semeni enyi Waislamu.Nayaletuliyoteremshiwaambayo ni Qur’an.
NayaleyaliyoteremshwakwaIbrahimnazo ni sahifa za Ibrahim; Inasemekana zilikuwa kumi.
NaIsmailnaIs-hak.
Hao ni watoto wa Ibrahim. Ismail ndiye mkubwa kuliko Is-hak; mama yake ni Hajar na mama wa Is-hak ni Sara.
Yaqub ni mtoto wa Is-hak. Hao wote hawakuteremshiwa sahifa, isipokuwa ziliteremshwa kwa Ibrahim, lakini inafaa kusema kuwa zimeteremshiwa wote kwa kuangalia kwamba wao walikuwa wakiabudu na kulingania kutokana na sahifa hizi; sawa na vile inavyofaa, kwa sisi Waislamu kusema: tumeteremshiwa Qur’an, kwa vile tunaamini na kufanya amali kutokana nayo na tunailingania.
NaWajukuu.
Hao ni wajukuu wa Yaqub kutokana na watoto wake kumi na wawili; Ni kama makabila ya Kiarabu katika uzao wa Ismail. Katika kizazi hicho kuna mitume wengi; kama vile Daud, Suleiman, Yahya, Zakariya. Vile vile waumini wengine ambao walifanya ibada kutokana na sahifa za Ibrahim (a.s.).
NawaliyopewaMusanaIsa
Ni Taurat na Injil na pia wengine waliyopewa Manabii. Kama Zaburi aliyoteremshiwa Daud.
Hatutofautishibainayayeyotekatikahao.
Yaani tunawaamini wote, wawe na kitabu au la. Sisi sio kama Mayahudi na Wakristo ambao wanaamini baadhi na kukanusha baadhi, bali wote kwetu ni sawa katika kuukubali utume wao. Kimsingi ni kwamba kuwaamini wote ni wajibu kwa njia ya ujumla, na wala hatukukalifishwa kuwajua kwa upambanuzi ila baada ya ubainifu kutoka katika Qur’an, au Hadith.
Basiwakiaminikamamnavyoamininyinyiitakuwakweliwameongoka.
Yaani wakiamini imani sahihi ambayo ni Tawhid yenye kutakata na aina yoyote ya shirk, na pia wakiwakubali Mitume wote akiwemo Muhammad; kama vile wanavyofanya Waislamu kwa Mitume wote bila ya kuwabagua wengine, wakifanya hivyo, basi watakuwa wameongoka. Wala maksudio sio kuwa waamini dini mfano wa dini ya Kiislam. Kwa sababu Uislamu hauna cha kufananisha.
Nawakikengeukabasiwaowamokatikaupinzanitu.
Yaani kila anayeipinga haki anakuwa amejitoa kundini na kujitofautisha.
BasiMwenyezi Munguatakutoshea
Kwani vitimbi viovu vinawapata wenyewe. Kwa ufupi ni kwamba Uislamu unakataa ubaguzi, unatoa mwito wa kusaidiana kwa misingi ya kheri na uadilifu, unaikubali haki popote ilipo na unawataka wafuasi wake wafungue nyoyo kwa watu wote kwa mapenzi na Ikhlasi.
Huuni)upakajirangiwaMwenyezi Mungu.
Ni dini ya haki ambayo inautwaharisha moyo na akili kutokana na uchafu; na wala sio kuzama katika maji, (ya kubatiza) kama wanavyofanya Wakristo.
Muhyiddin Ibnul-Arabi katika tafsir yake anasema: “Hakika kila mwenye madhehebu na itikadi anapambika na itikadi yake, dini na madhehebu yake. Wenye kuabudu kutokana na mila wanapambika na pambo la kiongozi wao. Na wenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu wanapambika na pambo la Mwenyezi Mungu ambalo hakuna pambo zuri zaidi ya hilo na wala hakuna jengine baada yake!”
قُلْ أَتُحَاجُّونَنَا فِي اللَّهِ وَهُوَ رَبُّنَا وَرَبُّكُمْ وَلَنَا أَعْمَالُنَا وَلَكُمْ أَعْمَالُكُمْ وَنَحْنُ لَهُ مُخْلِصُونَ }139{
Sema:JemnahojiananasijuuyaMwenyeziMungu?NahaliyeyeniMolawetunaMolawenu?Nasisitunavitendovyetu,nanyimnavitendovyenu;nasisitunamfanyiaIkhlasyeye.
أَمْ تَقُولُونَ إِنَّ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطَ كَانُوا هُودًا أَوْ نَصَارَىٰ ۗ قُلْ أَأَنْتُمْ أَعْلَمُ أَمِ اللَّهُ ۗ وَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّنْ كَتَمَ شَهَادَةً عِنْدَهُ مِنَ اللَّهِ ۗ وَمَا اللَّهُ بِغَافِلٍ عَمَّا تَعْمَلُونَ }140{
AuMnasemakuwaIbrahimna Ismail na Is-haq na Yaqub na wajukuu (zake) walikuwaMayahudiauManaswara? Sema: Je, nyinyi mnajua zaidi au Mwenyezi Mungu? Na ni nani dhalimu mkubwa kuliko yule afichaye ushaidi alio nao utokao kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu si mwenye kughafilika na hayomnayoyafanya.
تِلْكَ أُمَّةٌ قَدْ خَلَتْ ۖ لَهَا مَا كَسَبَتْ وَلَكُمْ مَا كَسَبْتُمْ ۖ وَلَا تُسْأَلُونَ عَمَّا كَانُوا يَعْمَلُونَ }141{
Huo niummauliokwishapita.Utapata uliyoyachumananyimtapatamliyoyachumawalahamtaulizwawaliyokuwawakifanya.
kama huitaji kumjua yesu wala Muhammad huyu mungu utamjuaje ili hali wajumbe wake huwahitaji?namaanisha kuanzia kwa Adam Kuja mpaka kwa Muhammad s.a.w walipita wajumbe wengi na Hawa mungu aliwatuma Kuja kuwalimgania waja ndipo watu wakajua mungu Ni nani na mafundisho yake,Sasa niambiw WW mungu ulimjua kuoitia nani?Umejieleza vyema, ila nawe umefungwa na minyororo ya dini na madhehebu inayokufanya usiijue kweli. Maarifa hautayapata ndani ya vifungo hivyo. Utahukumu yote kupitia yale tu yaliyojazwa akilini mwako na itikadi hiyo uijuayo tu.
Lakini tujiulize, hivi huyu Mungu ni mmoja kweli? Je ni huyuhuyu kwa mataifa yote? Je viumbe vingine vinavyoonekana hapa duniani vinamtii? Na kama Mungu ni mmoja kwa viumbe vyote tangu awali, je jamii nyingine zikikuwa na mitume yao iliyowalingania haki na kweli?
Swali kuu kabisa hapa, ni kipi akitakacho Mungu, kikuu kabisa kwetu? Tufanyeje, tuishije na ili iweje?
Kama tutajitaidi kuyajibu haya, tutamjua Mungu ktk kweli zake.
Mfano, hakuna tofauti kubwa sana Kati ya Yesu na Budha, tungo za mimba zao zinafanana, wote hawakuwa na baba wa kibaiolojia, ila lililo kuu ni ujumbe wao, unafanana mno, kuukana ulimwengu huu (kuondoa tamaa za kidunia) na kuuhusudu UPENDO mkuu.
Kwann hakutambulika na Arabs na Jews kuwa ni mtume? Kuna madai kwamba, mabudha wanaamini miungu mingi, hili si lenye mantiki, wanaamini kuna Mungu mmoja Muumbaji.
Huu ni mfano tu wa jamii moja, vipi kuwahusu waafrika, wa Amerika kusini nk? Kama moja ya mafundisho ya mitume ni kutenda ktk UPENDO na haki, lazima hizi jamii nazo zilipitiwa na mitume yao iliyowafundisha hayo.
Kinyume na haya, lenye mashiko ni kwamba Mungu yuko kiroho na hujiingiza kiroho ktk viumbe vyake vyote. Namaanisha, sihitajiki kumjua Yesu wala Muhammad kumjua Mungu, nitamjua tu kwakuwa yuko ndani ya viumbe vyote hata wanyama.
Na huu ndo ukweli kumhusu Mungu.
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?
ndugu naona hata wewe hujayachunguza maandiko vizuri.Hakuna taifa teule hapa duniani, huo ni ujinga wa kutojua historia. Israeli ya leo ni taifa sawa na Burundi au Gambia au Somalia na ina umri wa miaka 68. Mungu haukumba mataifa ila aliumba binadamu wote sawa mbele yake. Ukosefu wa maarifa ni dhambi mbaya sana.
Unachoongea ukijui naisi akili zako sio timamu pia kwa tarifa yako usipotubu kwa ujinga uliusema raaana itakutafuna wewe na kizazi chako milele na ukweli utabaki hivyo hivyo Israel ni taifa Takatifu na Mungu kaliteua upinge usipinge lkn ukweli ndio uo nakukumbusha kutubu kabla mambo ayajakualibikia.Israel is not a nation of GOD, ivi we kweli unathubutu kuliita taifa la mashoga kuwa ni taifa la Mungu? Mungu alilibirua zamani "Hilo taifa la Mungu" mmesahau Sodoma na Gomora?
Kwanza ujue, Israel ni kama kabila, ambalo limetokana na Yakob, waislam tunamtambua Yakoub ni kama mtume, na kizazi chake kuwa ni WANA wa Yakob (au wana wa israel). Jesus nae tunamtambua kama mtume, and why did you bring Jesus kwenye hii topic? Kwani hujui kama Jesus wana wa israel hawamtambui? hujui kama Jesus alisulubiwa na mayahudi?
Kwenye point yako ya kufocus sasa, mi labda nkuulize kidogo tu, unashughulisha ubongo wako katika kufikiri lakini? Aliekwambia kuwa eti God chose Israel over all nations ni nani? Au umekusudia kuuliza "Why god chose to curse Israel over all nations on the planet?"
Hili linaloitwa Taifa la mungu, Mungu huyo amechukua ardhi yao akaiberuza juu chini na chini juu na kuwashushia adhabu kali, eti leo brainwashed people wanakuja kusema ni TAIFA la Mungu 😀 Mungu hakulipenda taifa lake tena kwanini sie tujitie kulipenda?
Hamtafahamu kamwe kwa usahihi tabia ya Mungu Kwa kutumia elimu dunia!! Bhasi pia jiulize kwanini aliifungua njia kwenye red sea waisrael waliokuwa wamechanganyikana na baadhi ya wamisri wakapita salama ila majeshi ya Farao yakafia humo baharini. Kwahyo kwasababu hiyo tuseme Bwana alikuwa mmbaguzi? Halafu pia huyo huyo Bwana aliwaacha israel waende utumwani Misri kwa miaka 400? JE kwasababu hiyo tuseme kuwa Bwana ni Katili? LA HASHA mambo ya Mungu hayawezi kudadavuliwa vyema na wale wanaojiita Great thinkers eti kisa wana elimu ya cheti, diploma, degree. Masters degree, phd etc isipokuwa ukitaka kufahamu jambo la kiroho bhasi jiweke Kiroho zaidi utalifahamu tu. ISRAEL IS THE ELECT NATION NO MATTER WHAT, THOUGH BEING ELECT NATION DOES NOT MEANS THAT YOU ARE NOT SINFUL AT ALL.