Do Arabs/Muslim nations know Israel is the chosen nation of God?

Do Arabs/Muslim nations know Israel is the chosen nation of God?

Hamtafahamu kamwe kwa usahihi tabia ya Mungu Kwa kutumia elimu dunia!! Bhasi pia jiulize kwanini aliifungua njia kwenye red sea waisrael waliokuwa wamechanganyikana na baadhi ya wamisri wakapita salama ila majeshi ya Farao yakafia humo baharini. Kwahyo kwasababu hiyo tuseme Bwana alikuwa mmbaguzi? Halafu pia huyo huyo Bwana aliwaacha israel waende utumwani Misri kwa miaka 400? JE kwasababu hiyo tuseme kuwa Bwana ni Katili? LA HASHA mambo ya Mungu hayawezi kudadavuliwa vyema na wale wanaojiita Great thinkers eti kisa wana elimu ya cheti, diploma, degree. Masters degree, phd etc isipokuwa ukitaka kufahamu jambo la kiroho bhasi jiweke Kiroho zaidi utalifahamu tu. ISRAEL IS THE ELECT NATION NO MATTER WHAT, THOUGH BEING ELECT NATION DOES NOT MEANS THAT YOU ARE NOT SINFUL AT ALL.
Hivi wewe unaamini Israel ya leo ndiyo inayotajwa kwenye biblia? Je unatambua kuwa wayahudi hawamtambui Yesu km Masihi ila wanamuona km mtu wa kawaida tu? Je yale yanayofanywa na Israel pale Middle East ni mpango wa Mungu
 
Usomage kuanzia mwanzo wa bible na uilewe... bible na quran sio gazeti la sani... unatohoa kitu unakipest... utakufa: ingawaje haupo mbaali na ukweli. Ila uwe unaprove kwa kurise strong fact
Hii kitu usipotoshe watu. Waislam huwa mnapenda upotoshaji.
Hiyo quote ni kama ifuatavyo. Usipende kumchukua robo mstari ili upotoshe watu
 

Attachments

  • Screenshot_2017-01-25-00-55-26.png
    Screenshot_2017-01-25-00-55-26.png
    46.3 KB · Views: 56
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?






 
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?


 
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?
 
Dah.....yaani hii mada inarudiwarudiwa tu kwa namna tofauti tofauti ingawa kitu kingine, nani alikwambia kwamba Waisrael ni wateule....??
 
Israel ni taifa teule dhidi ya waarabu tu. kwanza ni ndg lakini linapokuja kwa wazungu wanakaa chini mwisrael anaajiriwa kama alivyo Mchina.
pia sisi waafrica hatuhusiki na uteule wao nasi tunatakiwa tuongee nao tuwaajiri watupe teknolojia yao.
kuhusu dini mi naona ni divai iliyowalewesha wengi. Muslims and Christians.
 
Unachoongea ukijui naisi akili zako sio timamu pia kwa tarifa yako usipotubu kwa ujinga uliusema raaana itakutafuna wewe na kizazi chako milele na ukweli utabaki hivyo hivyo Israel ni taifa Takatifu na Mungu kaliteua upinge usipinge lkn ukweli ndio uo nakukumbusha kutubu kabla mambo ayajakualibikia.
Asiekuwa na akili timamu ni yule anaeamini Mungu anaupendeleo kwa kabila fulani, asiekuwa na akili timamu ni yule ambae anaamini Israel ni taifa la mungu na kuwa mungu anavolipenda sana taifa lake akaliangamiza.
 
Hapo umemaliza!

Muhammad Pbh alikuja na Quran

Issa wa Mariam alikuja na nijulishe

Mussa alikuja na Torat.

Waislam wanamfuata Muhammad

Wakristu wanamfuata Yesu

Je wajua/wafikiri Jews wao wako dedicated kwa nani?

Kukusaidia tu jibu ni kwamba ni Mtume MUSSA aliye wavusha Sham.
 
Hapo umemaliza!

Muhammad Pbh alikuja na Quran

Issa wa Mariam alikuja na nijulishe

Mussa alikuja na Torat.

Waislam wanamfuata Muhammad

Wakristu wanamfuata Yesu

Je wajua/wafikiri Jews wao wako dedicated kwa nani?

Kukusaidia tu jibu ni kwamba ni Mtume MUSSA aliye wavusha Sham.
Yesu hakuja na ukristo
 
Do Muslim or Arab nations( majority are Muslims) know that Israel is the chosen Nation of God? Do they?
If they do why hating or standing against Israel?? Are they against Almighty God?
If they don't know , but they believe in Abraham who gave rise of Isak then Yakob then Israel ,and Jesus came from the that flow !!....if they don't recognise Jesus nor Israel !! Why they believe in Abraham!!?...anyway that is not a point of focus!!
My question is do they know that God choose only Israel over all nation of these planet?
Ungefuatilia vizuri historian ya Israel Na wa Palestine Ndo ungeelewa vzuri Nani alieanza kumchukia mwenzie.Uwepo wa Israel middle East hauhusiani kabisa Na dini zile ni siasa.ka Google kitu kinaitwa AL nakba Ndo utaona Nani ni mzuri Na mbaya kati ya hao Na utaona kuwa ishu sio mungu Bali ni siasa za marekani
 
Dah.....yaani hii mada inarudiwarudiwa tu kwa namna tofauti tofauti ingawa kitu kingine, nani alikwambia kwamba Waisrael ni wateule....??
Mbona unakasirika sana kusikia hivo!!!....,Handle the bare truth you will have peace in your heart !! Si unajua Ukweli unaishi!!/....lakin hapo hapo ungeambiwa ukoo wenu n teule ungeamin
 
Israel ni taifa teule dhidi ya waarabu tu. kwanza ni ndg lakini linapokuja kwa wazungu wanakaa chini mwisrael anaajiriwa kama alivyo Mchina.
pia sisi waafrica hatuhusiki na uteule wao nasi tunatakiwa tuongee nao tuwaajiri watupe teknolojia yao.
kuhusu dini mi naona ni divai iliyowalewesha wengi. Muslims and Christians.
We jamaa umenifurahisha!! Tukionana unikumbushe zawad yako
 
Back
Top Bottom