Do Arabs/Muslim nations know Israel is the chosen nation of God?

Who told you that the current Jewish state is that spoken in bible???? Am a Christian and don't agree that the today Israel nation is the one which we learned in bible as the chosen nation. Go and read
 
Mambo ya kiimani ukiyafafanua kimwili lazima upotee na hutakaa upate anachomaanisha Mungu wa Mbinguni. Hii issue ya Wana wa Israel kama huna Roho Mtakatifu hutaelewa kamwe, hasa kwa wale Wakristo. Kwa waislam automatically hawamwamini Kristo na hii ni issue ya Kikristo so usitarajie wao kuielewa Bible.
 
Give them again
[emoji552]
 
Halafu anayeamini Israe taifa la God pole yao.
Siyo wa kuwalaumu tatizo shule walizoenda na Mafundisho yahoo.
Hata Israel yenyewe haijijua kuwa ni taifa la God.
Wafrika bwana,punguzeni ushamba wa dunia.
 
Umejieleza vyema, ila nawe umefungwa na minyororo ya dini na madhehebu inayokufanya usiijue kweli. Maarifa hautayapata ndani ya vifungo hivyo. Utahukumu yote kupitia yale tu yaliyojazwa akilini mwako na itikadi hiyo uijuayo tu.

Lakini tujiulize, hivi huyu Mungu ni mmoja kweli? Je ni huyuhuyu kwa mataifa yote? Je viumbe vingine vinavyoonekana hapa duniani vinamtii? Na kama Mungu ni mmoja kwa viumbe vyote tangu awali, je jamii nyingine zikikuwa na mitume yao iliyowalingania haki na kweli?

Swali kuu kabisa hapa, ni kipi akitakacho Mungu, kikuu kabisa kwetu? Tufanyeje, tuishije na ili iweje?
Kama tutajitaidi kuyajibu haya, tutamjua Mungu ktk kweli zake.

Mfano, hakuna tofauti kubwa sana Kati ya Yesu na Budha, tungo za mimba zao zinafanana, wote hawakuwa na baba wa kibaiolojia, ila lililo kuu ni ujumbe wao, unafanana mno, kuukana ulimwengu huu (kuondoa tamaa za kidunia) na kuuhusudu UPENDO mkuu.
Kwann hakutambulika na Arabs na Jews kuwa ni mtume? Kuna madai kwamba, mabudha wanaamini miungu mingi, hili si lenye mantiki, wanaamini kuna Mungu mmoja Muumbaji.
Huu ni mfano tu wa jamii moja, vipi kuwahusu waafrika, wa Amerika kusini nk? Kama moja ya mafundisho ya mitume ni kutenda ktk UPENDO na haki, lazima hizi jamii nazo zilipitiwa na mitume yao iliyowafundisha hayo.

Kinyume na haya, lenye mashiko ni kwamba Mungu yuko kiroho na hujiingiza kiroho ktk viumbe vyake vyote. Namaanisha, sihitajiki kumjua Yesu wala Muhammad kumjua Mungu, nitamjua tu kwakuwa yuko ndani ya viumbe vyote hata wanyama.
Na huu ndo ukweli kumhusu Mungu.
 
kama huitaji kumjua yesu wala Muhammad huyu mungu utamjuaje ili hali wajumbe wake huwahitaji?namaanisha kuanzia kwa Adam Kuja mpaka kwa Muhammad s.a.w walipita wajumbe wengi na Hawa mungu aliwatuma Kuja kuwalimgania waja ndipo watu wakajua mungu Ni nani na mafundisho yake,Sasa niambiw WW mungu ulimjua kuoitia nani?
 
....Sina uhakika sana ....huwa nasikia WANA WA ISRAEL ndio walio mkana Yesu kuwa si Nabii wa Mungu...na hatima yake WALIMUUA na KUMTUNDIKA Msalabani....!!

Pia nasikia wakati WANATANGA TANGA (kwa laana na dhambi waliyo fanya) kutafuta makazi ya kuishi....UN/Umoja wa Mataifa walifikia AZIMIO kuwatafutia Ardhi/Kipande ndani ya Afrika ili watu hao waweze kuanzisha MAISHA rasmi...

Pia nasikia ni Taifa hili la ISREL sikukuu ya Krisimas mwaka huu uliokwisha 2016 walipiga MARUFUKU kusherehekea kwa kupamba Miti (jambo ambalo si kawaida)

Ninachojua Ulimwengu MZIMA unajua kuwa Taifa la Israel limevamia na kukalia kwa mabavu ARDHI ya ndugu zao WAPALESTINA.....

Swala la ISRAEL kama taifa teule hili ni swala la KISIASA zaidi....

Ni wakati tu UTAONGEA...
[HASHTAG]#FREE[/HASHTAG] PALESTINE
 
Nova no hakuna muslim jews but kuna muslim israelis cause a jew is religion and tribe you cant be jew and muslima at sametime thats why alot of Americans are jews but a not israel citizen too be istraelis is simple you just apply citizenship but to be a jew is a veryvery long procee but you can be ajew if you convet to it in jewish rules if your mother is jew you are automatically jew but if only your father is jew you have to undergo process in ISRAEL there are jews christian and muslim but all are israelis but jews are majority up to 80parcent
 
Who told you

Who told you Isarel is a Chosen Nation of God?
Bring your written proof/evidence with clear reference of your source of information.
 
MY COUNTRY TANZANIA IS A CHOSEN ONE. ...NI TAIFA PEKEE DUNIANI KOTE LILILOPELEKA MAJESHI YAKE KUSAIDIA NCHI ZAIDI YA TANO AFRICA ILI WAPATE UHURU BILA KUANGALIA MASLAHI YA NCHI YETU. ...HIVYO NINAAMINI NCHI YANGU TANZANIA NI ELECT ONE FROM THE ALMIGHTY SOVEREIGN SUPREME CREATOR OF THE UNIVERSE. ....TRUST ME ON THAT. ..
 
Fu.ck the Israelies...
Huu upuziii mliokaririshwa na makaburu mnashinda mnabishanaa mambo yakijinga..

Punguzenii utumwa wa kifikra..
 
Hivi Mungu anaubaguzi kiasi hiki? Mungu wa Watu wote achague Taifa Moja tu? Basi huyo si Mungu wa Kweli!
 
Acheni wivu,aliechaguliwa kachaguliwa tu hata mkikashifu VIP haisaidii kitu,na aliebarikiwa kabarikiwa tu ..cha msingi ni kuomba nasi Mungu atupe kibali mbele take kama taiga basi,tusikose mbingu.
 
Hivi tofauti ya Nchi na Taifa ni nini? Maana ya sasa ni nchi ya Israel au ni Taifa la Israel
 

Israel is not a nation of GOD, ivi we kweli unathubutu kuliita taifa la mashoga kuwa ni taifa la Mungu? Mungu alilibirua zamani "Hilo taifa la Mungu" mmesahau Sodoma na Gomora?

Kwanza ujue, Israel ni kama kabila, ambalo limetokana na Yakob, waislam tunamtambua Yakoub ni kama mtume, na kizazi chake kuwa ni WANA wa Yakob (au wana wa israel). Jesus nae tunamtambua kama mtume, and why did you bring Jesus kwenye hii topic? Kwani hujui kama Jesus wana wa israel hawamtambui? hujui kama Jesus alisulubiwa na mayahudi?

Kwenye point yako ya kufocus sasa, mi labda nkuulize kidogo tu, unashughulisha ubongo wako katika kufikiri lakini? Aliekwambia kuwa eti God chose Israel over all nations ni nani? Au umekusudia kuuliza "Why god chose to curse Israel over all nations on the planet?"

Hili linaloitwa Taifa la mungu, Mungu huyo amechukua ardhi yao akaiberuza juu chini na chini juu na kuwashushia adhabu kali, eti leo brainwashed people wanakuja kusema ni TAIFA la Mungu 😀 Mungu hakulipenda taifa lake tena kwanini sie tujitie kulipenda?
 
Before anything correct your title!
Do Arabs dont??
What kind of english is that kama vp andika kiswaz kingereza cha nn while very shallow!.
 
ndugu naona hata wewe hujayachunguza maandiko vizuri.

kwa taarifa tu Israel ni taifa teule ambalo Mungu aliwapa wana wa Israel.. kwa ushahidi tu soma kitabu kifuatacho

Ezekiel 36:16-24 hichi ndicho kilichotokea mwaka 1948
 
Unachoongea ukijui naisi akili zako sio timamu pia kwa tarifa yako usipotubu kwa ujinga uliusema raaana itakutafuna wewe na kizazi chako milele na ukweli utabaki hivyo hivyo Israel ni taifa Takatifu na Mungu kaliteua upinge usipinge lkn ukweli ndio uo nakukumbusha kutubu kabla mambo ayajakualibikia.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…