Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

Utazaa watoto kama umbwa?huyu na mama yake yule na mama yake utaweza vipi kuwa-manage kimalezi kama hauishi na mama zao?

Kutoa manii na kulea mtoto ktk njia sahihi itakayomsaidia baadae ni vitu viwili tofauti,maisha siyo simple kiasi hiko na ni rika tu linakusumbua kuna wakati utafika utajiona mjinga kuwaza hivi,unapoona vitu ktk jicho jepesi kama hivi elewa kuna siku mtoto utakaemzaa atabikiriwa na bwana wa mwanamke uliyemzaa kwa sababu alikuwa karibu yake kuliko wewe mwenye mbegu yako.
Kwa hio unamaanisha usipoishi na mama wa mtoto wako basi mtoto anaharibikiwa? Huna akili

Kingine, kuwa na hela na uwezo wa kutosha, mtoto unapewa ulee wewe mapema tu. Nikisema uwezo namaanisha uwe mwanaume kweli sio mwanaune suruali wale wanaosema eti wanaoa ili wasaidiane kiuchumi na wake zao. Hivi unamjua mama wa mtoto wa kwanza wa ronaldo? Stop justifying your weaknesses, fight them.

Mwanamke niliozaa nae anajua haiba yangu vyema sishindwi kumnyang'anya watoto anytime. Anakaa kwenye nyumba nilojenga mm, full cctv, maasai nje. Yeye hata akitombwa huko sina shida, ila watoto wangu wako safe, na anajua akizingua anatolewa. Be powerful as a man.

Sasa kama umezaa na mwanamke lkn hao watoto wanakaa kwa mwanaume mwenzako hapo ndipo shida unazoziongelea zinakuja. Kwanza kama mtoto wako anakaa kwa mwanaume mwenzio wewe bado mvulana tu umewahi kukojolea K, huwezi kuitwa baba
 
Hakuna asiyependa kuwa na mtu sahihi ila kwa dunia ya sasa mambo yamekuwa ni magumu mno ktk kumpata huyo mtu sahihi
Tatizo mnaweka vigezo vingi,awe na tako sijui shape awe na elimu kichwani mtafikiri mnatafuta walimu wengine mmeingiza hadi kigezo cha mke ataleta kiasi gani mezani!

Ukishakuwa na akili kama hizi lazima utamtafuta mwanachuo I think hakuna kati yetu asiyeujua ubovu wa hao viumbe waliopitia mavyuoni uchafu wanaoufanya,turudi kwenye misingi ya wazee wetu ya kuoa mke kwa ajili ya kuanzisha familia siyo kwa ajili ya kusaidiana maisha mwanaume hasaidiwi maisha yeye ndiye anayesaidia.
 
Kwa hio unamaanisha usipoishi na mama wa mtoto wako basi mtoto anaharibikiwa? Huna akili

Kingine, kuwa na hela na uwezo wa kutosha, mtoto unapewa ulee wewe mapema tu. Nikisema uwezo namaanisha uwe mwanaume kweli sio mwanaune suruali wale wanaosema eti wanaoa ili wasaidiane kiuchumi na wake zao. Hivi unamjua mama wa mtoto wa kwanza wa ronaldo? Stop justifying your weaknesses, fight them.

Mwanamke niliozaa nae anajua haiba yangu vyema sishindwi kumnyang'anya watoto anytime. Anakaa kwenye nyumba nilojenga mm, full cctv, maasai nje. Yeye hata akitombwa huko sina shida, ila watoto wangu wako safe, na anajua akizingua anatolewa. Be powerful as a man.

Sasa kama umezaa na mwanamke lkn hao watoto wanakaa kwa mwanaume mwenzako hapo ndipo shida unazoziongelea zinakuja. Kwanza kama mtoto wako anakaa kwa mwanaume mwenzio wewe bado mvulana tu umewahi kukojolea K, huwezi kuitwa baba
Hey dude,watch ya thumbs!unasemaje sina akili na kwanini unadhani una akili kunizidi?kwa sababu umesema kuoa hakufai?

Unaandika vitu vingi sana visivyokuwa na maana na mara zote Mtanzania akishaanza kujifananisha na watu wa nje anakuwa amekosa hoja,wewe unataka kujifananisha na Ronaldo kwa kipi kwa lipi?vijana wangapi wenye uwezo wa kujengea mama za watoto wao nyumba?unajaza watu upepo na vingi ulivyoandika hapo navichukulia kama story za kwenye vijiwe vya kahawa tu yeyote humu anaweza akaviandika kutetea hoja zake lakini kiuhalisia hali haipo hivyo.
 
Siku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa.
Pangilia maisha yako. Kama huna mtu baki (sio lazima awe mwanandoa wako) ambae ukimpigia simu au akisikia unaumwa basi ataacha kila kitu na kukusaidia basi una shida kubwa sana mahala. Nina washikaji ambao hata wasiponiona bar tu wiki mbili straight wataulizia kama niko mzima wa afya. That's your problem, do not generalize it.



Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya.
No need for sorry, ukweli lazima uwe attacked siku zote kwa points ambazo haziweze kuwa justified, utamuitaje mtu shoga kisa umeona anachoandika tu na kwenye maandishi hajasema yy ni shoga. Again, that's your problem, you have to deal with it yourself.


Wanawake wema bado wapo.
Sijasema hawapo, na hakuna sehemi nimesema msiwe na mahusiano na wanawake, bali usiingie kwenye ndoa kisa kutatua matatizo ambayo ni temporary tu, If u have a real permanent problem, then go ahead
 
Hey dude,watch ya thumbs!unasemaje sina akili na kwanini unadhani una akili kunizidi?kwa sababu umesema kuoa hakufai siyo?

Unaandika vitu vingi sana visivyokuwa na maana na mara zote Mtanzania akishaanza kujifananisha na watu wa nje anakuwa amekosa hoja,wewe unataka kujifananisha na Ronaldo kwa kipi kwa lipi?vijana wangapi wenye uwezo wa kujengea mama za watoto wao nyumba?unajaza watu upepo tu na vingi ulivyoandika hapo navichukulia kama story za kwenye vijiwe vya kahawa tu yeyote humu anaweza akaviandika kutetea hoja zake lakini kiuhalisia hali haipo hivyo.
Loser! Poor boy.

I rest my case.
 
Ndoa ni kitu muhimu sana. Huwezi kuitwa mwanaume mwenye mafanikio na huna familia bora. Kutokuoa sio sawa. Ila pia ingekuwa amri yangu ningefyeka FEMINISTS wote duniani maana wao ndo visababishi vya vijana kukataa ndoa. Pia mafisadi ningetwanga risasi kwasababu wana mchango mkubwa wa hali ngumu ya kiuchumi kwa vijana. Vijana wengi wana hali ngumu kiuchumi kiasi kwamba wanakimbia majukumu.
 
Utazaa watoto kama umbwa?huyu na mama yake yule na mama yake utaweza vipi kuwa-manage kimalezi kama hauishi na mama zao?

Kutoa manii na kulea mtoto ktk njia sahihi itakayomsaidia baadae ni vitu viwili tofauti,maisha siyo simple kiasi hiko na ni rika tu linakusumbua kuna wakati utafika utajiona mjinga kuwaza hivi,unapoona vitu ktk jicho jepesi kama hivi elewa kuna siku mtoto utakaemzaa atabikiriwa na bwana wa mwanamke uliyemzalisha kwa sababu alikuwa karibu yake kuliko wewe mwenye mbegu yako.
Mbona kuna ndoa za Polygamy ambazo ni legal hata kwenye dini ambapo mwanaume anazaa watoto kila mtoto na mama yake?

Je hiyo nayo ni life style ya umbwa?
 
Ndoa ni kitu muhimu sana. Huwezi kuitwa mwanaume mwenye mafanikio na huna familia bora. Kutokuoa sio sawa. Ila pia ingekuwa amri yangu ningefyeka FEMINISTS wote duniani maana wao ndo visababishi vya vijana kukataa ndoa. Pia mafisadi ningetwanga risasi kwasababu wana mchango mkubwa wa hali ngumu ya kiuchumi kwa vijana. Vijana wengi wana hali ngumu kiuchumi kiasi kwamba wanakimbia majukumu.
Na hayo mafanikio usipokuwa nayo ila lakini una ndoa, utaitwa jina gani?
 
Mbona kuna ndoa za Polygamy ambazo ni legal hata kwenye dini ambapo mwanaume anazaa watoto kila mtoto na mama yake?

Je hiyo nayo ni life style ya umbwa?
Jambo likishaenda kwa taratibu za kidini au kikatiba ktk jamii tayari hilo lina taratibu zake zinazojulikana.

Sasa hawa vijana wanasema tusioe tuzalishe tu wanawake watoto watakuja kututafuta wakiwa wakubwa au eti tuzae kama Ronaldo au Elon Musk tukazane kutafuta hela,Tanzania hii hizo hela za kulea watoto randomly mmoja Tabata mmoja Mbezi mmoja Bunju wangapi wana kipato cha kufanya hivyo?kama siyo kuandaa taifa la machokoraa na machangudoa,ni ujinga tu kufikiri tumeelimika zaidi kuliko walioianzisha hii dunia wakaweka na misingi yake.
 
Pangilia maisha yako. Kama huna mtu baki (sio lazima awe mwanandoa wako) ambae ukimpigia simu au akisikia unaumwa basi ataacha kila kitu na kukusaidia basi una shida kubwa sana mahala. Nina washikaji ambao hata wasiponiona bar tu wiki mbili straight wataulizia kama niko mzima wa afya. That's your problem, do not generalize it.




No need for sorry, ukweli lazima uwe attacked siku zote kwa points ambazo haziweze kuwa justified, utamuitaje mtu shoga kisa umeona anachoandika tu na kwenye maandishi hajasema yy ni shoga. Again, that's your problem, you have to deal with it yourself.



Sijasema hawapo, na hakuna sehemi nimesema msiwe na mahusiano na wanawake, bali usiingie kwenye ndoa kisa kutatua matatizo ambayo ni temporary tu, If u have a real permanent problem, then go ahead
Unaleta utani kwenye vitu serious bro!

Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa.

Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni.

Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na kuwa wewe muda wote kwa miezi hata mitatu tu hongera sana!
 
Bado hujafanikiwa.
Kumbe kinachompa mtu sifa sio ndoa kumbe ni mafanikio

Lakini sifa nazo sio hulka ya kila mtu.

Wewe unakibunda chako then mtu anakuja kukuita wewe sio mwanaume mwenye mafanikio, haikupunguzii chochote.

ELon Musk kwasababu hana ndoa hata ukimuita mwanaume asiye na mafanikio, licha ya yeye kutojali kauli yako ila kadamnasi itakuona wewe ni mjinga na umewadhalilisha maskini wenzako.
 
Jambo likishaenda kwa taratibu za kidini au kikatiba ktk jamii tayari hilo lina taratibu zake zinazojulikana.

Sasa hawa vijana wanasema tusioe tuzalishe tu wanawake watoto watakuja kututafuta wakiwa wakubwa au eti tuzae kama Ronaldo au Elon Musk tukazane kutafuta hela,Tanzania hii hizo hela za kulea watoto randomly mmoja Tabata mmoja Mbezi mmoja Bunju wangapi wana kipato cha kufanya hivyo?kama siyo kuandaa taifa la machokoraa na machangudoa,ni ujinga tu kufikiri tumeelimika zaidi kuliko walioianzisha hii dunia wakaweka na misingi yake.
Utofauti wa ndoa kwenye dini ni kiapo tu. Na ile dhana ya kujimilikisha rasmi mtoto wa mtu.

Na ndio maana zipo ndoa za kidini ambazo zinampa ruhusa mtu kuoa zaidi hata ya mara 10 kupitia talaka.

Mfumo huo wa fire and hire ni kama huu tu mfumo wa kisela sema tu huo umehalalishwa kwa dini.

Na sometimes ukipima utaona kuwa mfumo wa ndoa za dini ndio unafanya zaidi hayo mambo ambayo wasiooa wanayafanya.

Na huu ni ushahidi ambao ni universal unaweza ukawa umeoa lakini nje una mademu kibao ambao sio official.

Na katika hao mademu unakuta wapo pia ambao umewatia mimba na home umefanya siri.

Lakini ikitokea mjadala wa ndoa utakuta mtu huyo naye anakuja kusapoti ndoa tena kwa mifano hiyo hiyo ya malezi ya baba na mama kwa watoto.
 
Back
Top Bottom