mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wanavituo vyao hawaDili za watu hizo na huyu itakua ametofautiana mahali na wenzie ndio maana kakamatwa.
Sababu kupata namba plate tu ya kiserikali lazima aliunganishwa na alishafanya sana.
Huko maporini
Mfano tu kumtoa mtu 1 kutoka pozo
Mpk chalinze kwa bodaboda,analipwa
400,000
Huyo mwenye amazon si ajabu angewafikisha tunduma angepewa si chini ya 7,8,m
Ova