Dodoma: Akamatwa kwa kufoji namba za gari (SU) na kusafirisha wahamiaji haramu

Dodoma: Akamatwa kwa kufoji namba za gari (SU) na kusafirisha wahamiaji haramu

Labda kwa kuwa huyajui haya mambo ya kujilipua
Passport zao kupata visa ya majuu ni kazi sana Labda wakaishi kwenye camp za wakimbizi ila itachukua miaka kubebwa
Hapo kila mmoja ana hela za kutosha Ndio maana wakikamatwa kuna watu huwa wanafurahi sana mpaka kuita waandishi na kupiga nao picha kuwa eti tumekamata wahamiaji haramu

Hapo wameisha chukuliwa hela zao zote

Ila wakifanikiwa kwenda South huko kuna njia nyingi za kuingia Europe hata ziwe za communist ili mradi kwa wazungu hapo watapenya tu mpaka wafike UK ama Holland hata German na wanafanikiwa kwa kupanda train ama mabasi
Nawaona Wahabeshi wapya kila siku hapa wanaingia tu wakifanikiwa

Ila wakifika hapa wanapewa hifadhi kama binadamu na maisha yanaenda
Kwa hiyo hapo Tz ni shortcut tu na njia ya kuvukia tu

Huwezi kumzuia mtu kupita mahali na hii mipaka imetengenezwa na binadamu na tutavuka tu bila hata makaratasi hayo yanayoitwa passports
Mkuu umeandika kibabe sana bila shaka wewe ni baharia...
 
Labda kwa kuwa huyajui haya mambo ya kujilipua
Passport zao kupata visa ya majuu ni kazi sana Labda wakaishi kwenye camp za wakimbizi ila itachukua miaka kubebwa
Hapo kila mmoja ana hela za kutosha Ndio maana wakikamatwa kuna watu huwa wanafurahi sana mpaka kuita waandishi na kupiga nao picha kuwa eti tumekamata wahamiaji haramu

Hapo wameisha chukuliwa hela zao zote

Ila wakifanikiwa kwenda South huko kuna njia nyingi za kuingia Europe hata ziwe za communist ili mradi kwa wazungu hapo watapenya tu mpaka wafike UK ama Holland hata German na wanafanikiwa kwa kupanda train ama mabasi
Nawaona Wahabeshi wapya kila siku hapa wanaingia tu wakifanikiwa

Ila wakifika hapa wanapewa hifadhi kama binadamu na maisha yanaenda
Kwa hiyo hapo Tz ni shortcut tu na njia ya kuvukia tu

Huwezi kumzuia mtu kupita mahali na hii mipaka imetengenezwa na binadamu na tutavuka tu bila hata makaratasi hayo yanayoitwa passports
Miaka ya 70,80 bongo watu kisafiri ilikuwa ngumu Sana wengi walisafiri
Kwa kula border Sudan,anaitafuta misri au Algeria wakipata bahari ya Mediterranean ndy wanafanya mpango wa kubebwa kuingia ulaya
Htr sana
Na wengi wamepoteza maisha

Ova
 
Huyo mwamba kachomwa


Kuna jamaa alikuwa anabebaga miraa anachukua milimani ila alikuwa mjanja kama huyo jamaa juu alivyosema alikuwa anabadilisha gari bila wao kujua

Na mara nyingi wachomaji wanakuwa haohao waliokuuzia mzigo unakuta

Ulienda na gari ya blue kununua unafika inasimamishwa haina kitu kumbe mwamba ulisha ushift sehemu nyengine
 
Sema nao kwann wanatembea kwa makundi?? Mbona wakiwa wawili wwili hakuna atakaye wastukia wanakutana tu tunduma?? Wanaunga tu magari ya kawaida,wtz hatunaga shobo za kufuatiliana ukijua mtu siyo raia na ana 50 zake
 
Angefanikisha hilo dili angekuwa ashatoboa
Ajali kazini,hakuwa na pesa ya njiani.
Lakini wale jamaa awatosheki akila anamvutia signal wa mbele hadi ufike mwisho utabakia na boksa tu umefanya Kazi ya kanisa.
 
Sasa angetumia VX V8 angetoboaje wakati ishu ni kuwa kachomeshwa? Kuna mtu kavujisha kuwa hio cruiser ni ya mchongo.

Dili kama hizo hutakiwi kutumia gari moja😀 unatakiwa uwe unabadili badili gari tu😀
Pili ilitakiwa awe na plate number zaidi ya kumi na asiwe na simu,plus pesa ya njia.
Hizi dili inatakiwa uwe na akili ya samaki.
Hata hao askari waliomkamata utakuta wameshindwana bei ya njia.
 
Sema nao kwann wanatembea kwa makundi?? Mbona wakiwa wawili wwili hakuna atakaye wastukia wanakutana tu tunduma?? Wanaunga tu magari ya kawaida,wtz hatunaga shobo za kufuatiliana ukijua mtu siyo raia na ana 50 zake
Hio wanaweza wasomali,ulishawahi sikia msomali au wasomali kakamatwa zaidi ya hao ng'ombe.
 
Huyo mwamba kachomwa


Kuna jamaa alikuwa anabebaga miraa anachukua milimani ila alikuwa mjanja kama huyo jamaa juu alivyosema alikuwa anabadilisha gari bila wao kujua

Na mara nyingi wachomaji wanakuwa haohao waliokuuzia mzigo unakuta

Ulienda na gari ya blue kununua unafika inasimamishwa haina kitu kumbe mwamba ulisha ushift sehemu nyengine
Gari ya kubebea dili ya awali haitakiwi iwe ya kusafiria mzigo.
Na wasijue siku mda au uelekeo wako.
 
Hii kitu huko ndani ndani kuna vituo vyao ya kuwapokea,mtandao huu unanzia mbali San mpaka hapa bongo
Kuna watu kazi yao kuwapokea na kuwaunganisha na watu wa usafiri

Ova

Yaani hii baishara inalipa sana mpaka wazungu wamelalamika sana
Watu wameacha biashara za Unga kwa sababu Kuna life sentence au death katika nchi zingine
Ila kuvusha watu na kupata kila kichwa £2000 (6m ni kawaida na hukumu yake Ulaya ilikuwa ni slap on the wrist

Sasa wote wakahamia hii biashara
 
Bado wale wanaopitia kutokea Mediterranean Sea kuingia ulaya

Ova

Hao ndio balaa kila leo nawaona
Bado wale wanaotembea kwenye misitu ya Latin America ili kuingia USA hao mziki wao
Wanatembea mpaka wanakutana na wale drug barons na kuuwawa
 
Yaani hii baishara inalipa sana mpaka wazungu wamelalamika sana
Watu wameacha biashara za Unga kwa sababu Kuna life sentence au death katika nchi zingine
Ila kuvusha watu na kupata kila kichwa £2000 (6m ni kawaida na hukumu yake Ulaya ilikuwa ni slap on the wrist

Sasa wote wakahamia hii biashara
Hii ndo ilimtajirisha mume wa zari South.
Hizi dili ufanywa na makundi ya Mafia,makundi ya magaidi,nk
 
Hao ndio balaa kila leo nawaona
Bado wale wanaotembea kwenye misitu ya Latin America ili kuingia USA hao mziki wao
Wanatembea mpaka wanakutana na wale drug barons na kuuwawa
Mm kna bro wangu mmja alikulaga boda miaka ya 80 nasikia walipitia Sudan hadi Algeria....mpaka leo hajulikani alipo mamaeeee
Tulimsaka sana lkn bila bila
Mpaka leo hiii
Njiani huko walikuwa wanakutana na mabalaaa htr sana mpaka kufika ulaya basi we ni zaidi ya mwanajeshi

Ova
 
Hao wanakwenda south africa kuwa macheap labour wanaenda fungiwa viwandani au kwenye uzalishaji upigishwa Kazi za kufa mtu kwa ujira wa wali maharage.
Kwa wasomali South Africa ni kituo, wanazamia bahamas au Brasil kisha wanadumbukia USA land of opportunities kuwa masikini kule ni hiari yako.
 
Yaani hii baishara inalipa sana mpaka wazungu wamelalamika sana
Watu wameacha biashara za Unga kwa sababu Kuna life sentence au death katika nchi zingine
Ila kuvusha watu na kupata kila kichwa £2000 (6m ni kawaida na hukumu yake Ulaya ilikuwa ni slap on the wrist

Sasa wote wakahamia hii biashara
Human trafficking ipo sana na waromania na wabulgaria wanatumika sana hapo kwa ulaya kuwaingiza watu

Ova
 
Hao wanakwenda south africa kuwa macheap labour wanaenda fungiwa viwandani au kwenye uzalishaji upigishwa Kazi za kufa mtu kwa ujira wa wali maharage.
Kwa wasomali South Africa ni kituo, wanazamia bahamas au Brasil kisha wanadumbukia USA land of opportunities kuwa masikini kule ni hiari yako.
No,wakifika huko wanaitafuta ulaya au wanaenda kuwajoin wenzao hapo South africa maana wasomali,wapo wamewekeza sana South africa
Wanachotaka jamaa zao wafike tu hapo wakifika wawafanyie mchakato wa kimaisha zaidi

Ova
 
Mm kna bro wangu mmja alikulaga boda miaka ya 80 nasikia walipitia Sudan hadi Algeria....mpaka leo hajulikani alipo mamaeeee
Tulimsaka sana lkn bila bila
Mpaka leo hiii
Njiani huko walikuwa wanakutana na mabalaaa htr sana mpaka kufika ulaya basi we ni zaidi ya mwanajeshi

Ova
Sio rahisi kuwa hai hadi sasa,angesharudi japo kusalimia.utekwa na maharamia then wanaporwa walivyonavyo au kuuzwa kwa wanunuzi wa viungo vya binadamu,uliwa na wanyama.

Nenda tu kihalali nchi za watu
 
Miaka ya 70,80 bongo watu kisafiri ilikuwa ngumu Sana wengi walisafiri
Kwa kula border Sudan,anaitafuta misri au Algeria wakipata bahari ya Mediterranean ndy wanafanya mpango wa kubebwa kuingia ulaya
Htr sana
Na wengi wamepoteza maisha

Ova

Mimi niliondoka 1978 nikiwa mdogo na akili za kutokujali ili mradi nitoke tu
Huwezi amini nilipita border mbili tu kushtuka Niko Aden huyoooo
 
Back
Top Bottom