Nimepigiwa simu muda si mrefu,huyu jamaa(Joachim) ni ndugu yangu..mtoto wa baba mkubwa. Na alikuwa anafanya kazi serikalini ,dereva wa Bot mkoa x kusini huko, Masikini ndugu yangu, tamaa hizi!!...
Nimepigiwa simu muda si mrefu,huyu jamaa(Joachim) ni ndugu yangu..mtoto wa baba mkubwa. Na alikuwa anafanya kazi serikalini ,dereva wa Bot mkoa x kusini huko, Masikini ndugu yangu, tamaa hizi!!...