Dodoma: Akamatwa kwa kufoji namba za gari (SU) na kusafirisha wahamiaji haramu

Nahisi mgao umeleta shida mtu akachomeshwa
 
Watu 16..?? Aisee walikaaje humo ndani?? Sema kwani wakiwaacha waende zao kuna kosa gani??
 
Nimepigiwa simu muda si mrefu,huyu jamaa(Joachim) ni ndugu yangu..mtoto wa baba mkubwa. Na alikuwa anafanya kazi serikalini ,dereva wa Bot mkoa x kusini huko, Masikini ndugu yangu, tamaa hizi!!...
 
Nimepigiwa simu muda si mrefu,huyu jamaa(Joachim) ni ndugu yangu..mtoto wa baba mkubwa. Na alikuwa anafanya kazi serikalini ,dereva wa Bot mkoa x kusini huko, Masikini ndugu yangu, tamaa hizi!!...
Bas atatoka km wa serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…