Wananchi wamechagua vizuri tena kwa umakini mkubwa lakini NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm wakapora haki zote na kuizawadia Nchi CCM kwa njia haramu za kishetaniUkubali kuporwa HAKI?
Watu wanaiba na kupora masanduku ya kura ili kupika data alafu tukubali?
Hakuna kitu kama hicho kwa MTU mwenye akili timamu.
Mmetudharau wananchi kutupa watu hatujawachagua mkajaza makura feki.
😂😂😂Niko tayari kujiunga na kikundi cha ugaidi bila malipo
Vumilia wananchi 12M sio wakupuuzwa yaani sisi 12M hatuwezi kukosa usingizi kwaajili yako wewe mtu mmoja.Ugaidi huletwa na watu kunywimwa haki zao watu kuporwa haki zao, CCM ndiyo inatengeneza mazingira ya ugaidi, CCM ni chanzo cha ushetani wote Nchini, Ushindani upi? Kuna kushinda na kushindwa? Magufuli kashinda uchaguzi upi? Wateule wa wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm eti wanajiita washindi? Kwa uchaguzi upi? Hongera mtukufu magufuli kwa kitu kipi? au unampa hongera kwa kupora Nchi kwa njia haramu za kishetani pasipo idhini ridhaa ya wapiga kura?
Ha ha haa.. hao wahuni wasiachiwe mahali pa ibada, ni kupigwa mawe tuMbunge hata akiingia msikitini au kanisani ama atoke yeye au aachwe peke yake ndani ya sinagogi. Zanzibar imeshaanza msikitini wanaachwa peke yao,akiingia liciciemuwatu wanaondoka wanaenda kuswali kwengine.
Watu wanakwapua masanduku ya kura?Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
ingekuwa ni saccos msingewapora Nchi kwa njia haramu za kishetani na ingekuwa ni saccos msingekuwa mnawabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji na mateso kibao mngeacha wananchi waamue wenyeweEdited clip wadanganye wanasaccos.
hao hapo unajua nini kilijiri.. hao ni wakazi wote wa Dodoma?hatimaye wagogo wameamka....
Walikuwa wanajisifia sanaa aseee.....
CCM ni dodoma na dodoma ni CCM
Hakuna marefu yasiyo na ncha....
CCM inajiongelea yenyewe kwa ushetani wakeCCM ya Magufuli.. bila kuiongelea hamlali.. 😀 😀 😀
huyo ni Mbunge 5 tenaaaaaaaaaaaa
Wewe tuletee hiyo ambayo haija editwa.Edited clip wadanganye wanasaccos.
Acha uongo wewe mmeshindwa kihalali hata waangalizi wa kimataifa wamesema uchaguzi umeenda vizuri na salama sasa wewe uko Tanzania au ughaibuni.Siwezi kukubali UHUNI huu mpaka naingia kaburini.
Wametudharau sana sana sana WANANCHI.
kumbe machafuko tunashangaa yanatokeaje ni kama vitu hivi vya kipuuzi
Mtakufa na stress bure.CCM inajiongelea yenyewe kwa ushetani wake
Hakuna uchaguzi hayo ni vioja maigizo ya CCM kuuhadaa ulimwengu kuwa wamefanya uchaguziWatu wanakwapua masanduku ya kura?
Polisi wanapiga mabomu ya machozi kutawanya watu ili waondoke na masanduku?
Wasimamizi wa uchaguzi wanakuja na mabegi yenye kura fake?
Mawakala wanazuiliwa kuingia kwenye vituo vyao kwa sababu batili?
Alafu niseme ni uchaguzi?
Nitakuwa ni maiti sio Mimi mwenye Ubongo na macho yakuona huu UKHANITHI
Kilichojiri Anthony Mavunde kuzomewa.hao hapo unajua nini kilijiri.. hao ni wakazi wote wa Dodoma?
Mmekwisha hata waangalizi wa uchaguzi wameshasema uchaguzi ulikuwa huru na haki. Sasa wewe endelea na stress zako! Who cares!ingekuwa ni saccos msingewapora Nchi kwa njia haramu za kishetani na ingekuwa ni saccos msingekuwa mnawabambikia kesi kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji na mateso kibao mngeacha wananchi waamue wenyewe
Nyinyi ndiyo mtakufa kwa stress za nafsi kuwasuta kwani mwisho wa mwizi ni 40Mtakufa na stress bure.
Kwisha tuliwaambia mtakoma safari hiiTuendelee tu kuyazomea maana hatuyataki