Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Teh teh

Alitumwa kama chambo kupima upepo

Wameona upepo hausomeki ...Polepole kaja na tamko kuwa hawaruhusiwi kusherehekea...

Washerehekee na nani kama wananchi wanawazomea....

Pole pole bana
Umeona mbali, wenyewe sura zao zimekunjamana hawana amani, hiyo nguvu ya kushangilia wataitoa wapi?!
 
Hiyo zomea zomea ni wapinzani wamesema au ndo uhalisia? Hujaona hiyo clip?!
Kwani ndani ya CCM hakuna wapinzani? Kwenye huu uchaguzi mamluki ndani ya CCM wametoa upinzani mkubwa kuliko hata chadema, wengine imebidi wawekwe lock-up!
 
Hahaahaaa waangalizi wa Burundi!!!

Kwao wamezoea mabomu na risasi wanakuja hapa kuangalia nini?!

Jamaa wajinga sana.
 
Kwani ndani ya CCM hakuna wapinzani? Kwenye huu uchaguzi mamluki ndani ya CCM wametoa upinzani mkubwa kuliko hata chadema, wengine imebidi wawekwe lock-up!
Hao ni CCM wamevaa za hayo mavazi ya mbogamboga ndio wanamzomea.

"WEE NENDA HATUJAKUCHAGUA, TOKAAAAA, HATUKUTAKIIIII, KWENDRAAA"

Maskini kidogo apige ukunga kijana Mavunde![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe kenge mjane unatumia radio ya mbao hapa?

Unashabikia mitandao kuzimwa na upo na VPN umelaza kende una type UPUUZI?

We KIAZI KITAMU[emoji23][emoji23]
Mkuu ujue watetezi wa CCM mda huu wapo gheto kwa cyprian Musiba wanavuta Bangi usishangae utetezi wao kufanana maana wote hukaririshwa upumbavu na Le mutuz msaidizi na Mshauri mkuu wa polepole mkuu wa ushetani CCM
 
Huu ushauri wape ccm wenzio, waache kuiba kura
Upo nchi gani kwani hata usijue walioshinda ni CCM?

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hahaahaaa waangalizi wa Burundi!!!

Kwao wamezoea mabomu na risasi wanakuja hapa kuangalia nini?!

Jamaa wajinga sana.
Angalia hawa majaji wasomi wao hawajaremba wasema "UNFORTUNATELY ELECTION WAS NOT CREDIBLE"

Hawa ndio walikaa vituoni na kuona wizi wa kura
 
Hao ni CCM wamevaa za hayo mavazi ya mbogamboga ndio wanamzomea.

"WEE NENDA HATUJAKUCHAGUA, TOKAAAAA, HATUKUTAKIIIII, KWENDRAAA"

Maskini kidogo apige ukunga kijana Mavunde![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM wengi wana vilio vingi na hasa wafanyabiashara ambao wengi wamefirisiwa kwa kubambikiwa kodi na TRA na wengine kupewa kesi za uhujumu uchumi kwa uonevu mkubwa, ndani ya CCM kwenyewe kuna upinzani mkubwa na wengi hawapendezwi na utawala wa mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tokea chato
 
Unamzomea mtu anaingia kwenye v8..si anakucheka tuu...maisha yanaenda kasi sana...

Hata wakimzomea haisaidii..

walimchagua wenyew...hao hao wanaomzomea walikua wanacheza mwaga maji tucheze kama kambale diamond alipokua stejini...
 
Tuliza nyege mshindo dogo
Sasa kwa maneno kama haya yasiyo ya staha nani angewachagua wakati hamna nidhamu?

Wewe ni reflection ya waliokataliwa na wananchi kwa hiki ulichokiandika hapa.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Upo sahihi mkuu!

Hali mbayaaaaa mno!
 
Unamzomea mtu anaingia kwenye v8..si anakucheka tuu...maisha yanaenda kasi sana...

Hata wakimzomea haisaidii..

walimchagua wenyew...hao hao wanaomzomea walikua wanacheza mwaga maji tucheze kama kambale diamond alipokua stejini...
Haimsaidii akati keshapata ujumbe hatakiwi na wananchi waliomuajiri

We kima pia
 
Sasa kwa maneno kama haya yasiyo ya staha nani angewachagua wakati hamna nidhamu?

Wewe no reflection ya waliokataliwa na wananchi kwa hiki ulichokiandika hapa.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mimi nimegombea wapi?[emoji23][emoji23]

Hata kadi ya chama chochote sina

Kuna MTU ana maneno ya ngono kama mgombea wenu?

Mara UNATAKA NIPANUE WAPI?

Mara WANAWAKE WEUPE NAWAZIMIA

Na mengine ya kutisha.

Hujielewi Kima wee
 
Mimi nimegombea wapi?[emoji23][emoji23]

Hata kadi ya chama chochote sina

Kuna MTU ana maneno ya ngono kama mgombea wenu?

Mara UNATAKA NIPANUE WAPI?

Mara WANAWAKE WEUPE NAWAZIMIA

Na mengine ya kutisha.

Hujielewi Kima wee
Una mental case acha nikuache uchote maji kwa tenga.

Uchaguzi umeisha acha tuendelee kuijenga nchi na katika Magufuli tunaamini.

Tafadhali msitugawe Watanzania.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mbinu ile ile ya Wapinzani....."Rweikiza azomewa....", "JPM azomewa Bukoba..." aina hii ya 'siasa' itawachukua miaka mingine 100 kupewa uongozi..!
Kwanini msiwe wabunifu hata kukopy kwa nchi jirani mf. Kenya?

mkuu mimi nadhan ni mda sasa wa kutafuta upinzani mwingine wenye akili timam,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…