Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

hao hapo unajua nini kilijiri.. hao ni wakazi wote wa Dodoma?
Dalili ya mvua ni mawingu... Dodoma mjini upinzani ulikuwa chini sanaa ilaa baada ya watu kunyimwa haki zao kidogo kidogo wakaanza kuwa wapinzani...
Kwa mkazi wa Dodoma anajua kilichotokea Kilimo kwanza (njedengwa) mbegu ya upinzani ilianzia hapa ..
Kwa hiyo hii ya Dodoma sec ni kama mwendelezo tuu
 
dalili ya mvua ni mawingu... Dodoma mjini upinzani ulikuwa chini sanaa ilaa baada ya watu kunyimwa haki zao kidogo kidogo wakaanza kuwa wapinzani...
kwa mkazi wa dodoma anajua kilichotokea Kilimo kwanza (njedengwa) mbegu ya upinzani ilianzia hapa ..
ko hii ya dom sec ni kama mwendelezo tuu
Fake video clip
 
Mmekwisha hata waangalizi wa uchaguzi wameshasema uchaguzi ulikuwa huru na haki. Sasa wewe endelea na stress zako! Who cares!
Waangalizi wa Burundi? hao nao ni waangalizi kweli au wapumbavu fulani tu, hakuna wangalizi wa kimataifa wamekubali Tanzania kulikuwa na uchaguzi bali wote wanajua CCM imeipora Nchi kwa njia haramu za kishetani, wewe utakufa kwa stress za moyo kuwasuta nafsi zenu
 
Acha uongo wewe mmeshindwa kihalali hata waangalizi wa kimataifa wamesema uchaguzi umeenda vizuri na salama sasa wewe uko Tanzania au ughaibuni.
Waangalizi maandazi hao na tabia wanafanana.

Sasa angalia "Tanzania Election Watches" Walivyosema hapo chini[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20201101-111733.jpeg
Screenshot_20201101-111721.jpeg
Screenshot_20201101-111706.jpeg
 
Waangalizi wa Burundi? hao nao ni waangalizi kweli au wapumbavu fulani tu, hakuna wangalizi wa kimataifa wamekubali Tanzania kulikuwa na uchaguzi bali wote wanajua CCM imeipora Nchi kwa njia haramu za kishetani, wewe utakufa kwa stress za moyo kuwasuta nafsi zenu
Walikuwa 600 Tanzania nzima pia watu wakimataifa wote wamesema uchaguzi ni huru na haki. Sasa endeleeni kulialia kama mzombi.
 
hao ni vibaraka waliotumwa
kitu hiki hapa
What's is this SHIT got to do with me here?

Unaniletea habari za mchungali mla kondoo?[emoji23][emoji23][emoji23]

Aliyesema dini ya kiislamu ni majini?

Aliyesema Roman Catholic ni dini ya mpinga kristo?
 
Wapinzani wakiona hivi mioyo yao inasuuzika kama mwanaume anae pizi bao la kwanza.
 
Back
Top Bottom