Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Hawa wevi wa kura wazomewe, watengwe, wasusiwe na waadhibiwe kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never!Nyinyi ndiyo mtakufa kwa stress za nafsi kuwasuta kwani mwisho wa mwizi ni 40
Dalili ya mvua ni mawingu... Dodoma mjini upinzani ulikuwa chini sanaa ilaa baada ya watu kunyimwa haki zao kidogo kidogo wakaanza kuwa wapinzani...hao hapo unajua nini kilijiri.. hao ni wakazi wote wa Dodoma?
Edited video clip. Dodoma hawana ujinga huo.Hawa wevi wa kura wazomewe, watengwe, wasusiwe na waadhibiwe kila mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fake video clipdalili ya mvua ni mawingu... Dodoma mjini upinzani ulikuwa chini sanaa ilaa baada ya watu kunyimwa haki zao kidogo kidogo wakaanza kuwa wapinzani...
kwa mkazi wa dodoma anajua kilichotokea Kilimo kwanza (njedengwa) mbegu ya upinzani ilianzia hapa ..
ko hii ya dom sec ni kama mwendelezo tuu
Waangalizi wa Burundi? hao nao ni waangalizi kweli au wapumbavu fulani tu, hakuna wangalizi wa kimataifa wamekubali Tanzania kulikuwa na uchaguzi bali wote wanajua CCM imeipora Nchi kwa njia haramu za kishetani, wewe utakufa kwa stress za moyo kuwasuta nafsi zenuMmekwisha hata waangalizi wa uchaguzi wameshasema uchaguzi ulikuwa huru na haki. Sasa wewe endelea na stress zako! Who cares!
Waangalizi maandazi hao na tabia wanafanana.Acha uongo wewe mmeshindwa kihalali hata waangalizi wa kimataifa wamesema uchaguzi umeenda vizuri na salama sasa wewe uko Tanzania au ughaibuni.
Uteuzi umekufanya ujitoe fahamu zote njaa mbaya sanaFake video clip
Mnavuna aibu wajinga nyie!Kwisha tuliwaambia mtakoma safari hii
Walikuwa 600 Tanzania nzima pia watu wakimataifa wote wamesema uchaguzi ni huru na haki. Sasa endeleeni kulialia kama mzombi.Waangalizi wa Burundi? hao nao ni waangalizi kweli au wapumbavu fulani tu, hakuna wangalizi wa kimataifa wamekubali Tanzania kulikuwa na uchaguzi bali wote wanajua CCM imeipora Nchi kwa njia haramu za kishetani, wewe utakufa kwa stress za moyo kuwasuta nafsi zenu
What's is this SHIT got to do with me here?hao ni vibaraka waliotumwa
kitu hiki hapa
Stress itakutesa sana.Uteuzi umekufanya ujitoe fahamu zote njaa mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fake video clip
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani hawapaswi kujiita eti ni washindi wa uchaguzi kwani huo siyo uchaguzi huru ni vioja na maigizo ya kuuhadaa ulimwenguWaangalizi maandazi hao na tabia wanafanana.
Sasa angalia "Tanzania Election Watches" Walivyosema hapo chini[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1617034View attachment 1617035View attachment 1617036
Acha kuwa Mbuni kuingiza kichwa kwenye mchanga. Siafiki maandamano, kuzomewa au fujo ya aina yoyote, na umbuni pia siuafiki. Huyo kazomewa.Edited clip wadanganye wanasaccos.
CCM wakiona hivi hujipa moyo kuwa walishinda uchaguzi hata kama nafsi zao zinawasuta liveWapinzani wakiona hivi mioyo yao inasuuzika kama mwanaume anae pizi bao la kwanza.
Hiloooo Likada la CCM!Edited video clip. Dodoma hawana ujinga huo.
Mkuu unajitaid kutuaminisha ni fake clip...Fake video clip