Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Habari wakuu!

Jana, Oct 30 2020 Mbunge aliyeshinda jimbo la Dodoma mjini kwa tiketi ya CCM, ndugu Anthony Mavunde ameshindwa kuongea na wananchi wa Dodoma mjini baada ya kundi kubwa kuanza kumzomea.

Kitu hicho kilimpelekea kuingia kwenye gari na kuondoka kwa aibu kubwa.

Wananchi hao walisikika wakisema " WE NENDA, HATUKUTAKI , HATUJAKUCHAGUA, PANDA GARI UENDE ZAKO"

Hali iliyozua maswali mengi mtandaoni kwamba inakuwaje kuzomewa na kundi kubwa vile tena kipindi alipoenda kutoa shukrani kuchaguliwa?

Hii inaashiria nini tuendako? Na Dodoma si ngome ya CCM?

Je, wananchi wanatuma ujumbe gani kwa hili tukio?

Kusema wenye nchi ni wananchi?

Nisiwachoshe kwa maswali tazama mkasa mzima hapo chini.

View attachment 1616367
ACHA KUPOTOSHA,,,

HILO TUKIO NI KABLA YA UCHAGUZI ..ILIKUWA KIPINDI CHA KAMPENI. NA HAPO NI MSALATO MNADANI.

CHANZO NI KWAMBA MH.RAIS ALIKUWA ANATOKEA BABATI KUPITIA BARABARA YA KONDOA-DODOMA.

HAO WANANCHI WALITANGAZIWA SIKU MBILI KABLA KUWA ,,RAIS ATASIMAMA KUZUNGUMZA NAO ILI WAWASILISHE KERO ZAO LAKINI HAKUSIMAMA BILA KUTOA SABABU...KITENDO HICHO KILIWAKERA.

HIVYO WAKAANZA KUMZONGA ZONGA MAVUNDE ..
 
CCM wengi wana vilio vingi na hasa wafanyabiashara ambao wengi wamefirisiwa kwa kubambikiwa kodi na TRA na wengine kupewa kesi za uhujumu uchumi kwa uonevu mkubwa, ndani ya CCM kwenyewe kuna upinzani mkubwa na wengi hawapendezwi na utawala wa mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tokea chato
Ndo maana wananchi HAWAPO tayari kuvumilia mitano tena ya:
Ubambikiziaji kesi, ubambikaji Kodi, utekaji, nk
 
Acha uongo.
Msalato mnadani...na ilikuwa KABLA ya uchaguzi.
Nani kakudanganya?

Hiyo Kimbinyiko kwenye background umeiona au arusha road kuna kimbinyiko?

Hapo alikuwa anatoa shukurani kushinda akazomewa "HATUJAKUCHAGUA, ONDOKA UENDE KWENYE GARI"

Ndio maana polepole kakataza kusheherekea kuepusha hizi adha, walikuwa wanapima upepo, ukawapuliza hawakuamini, Vumbi tiiii[emoji23][emoji23][emoji23]


Kawadanganye kina lemutuz huko
 
Hio ndio uniform kwa Tanzania nzima ,tusimuonee haya mvivu mzembe mzururaji na mwizi wa maamuzi ya Watanzania ,CCM lazima mwaka huu watarudi nchini kwao,wengi inasemekana wanatokea Rwanda na Burundi , Watanzania tumewashitukia.

Mbunge hata akiingia msikitini au kanisani ama atoke yeye au aachwe peke yake ndani ya sinagogi. Zanzibar imeshaanza msikitini wanaachwa peke yao,akiingia liciciemuwatu wanaondoka wanaenda kuswali kwengine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wizi wa huu awamu ya aibu sanaaaa mpaka tumesanda[emoji3480][emoji3480][emoji3480][emoji3480]
 
Nani kakudanganya?

Hiyo Kimbinyiko kwenye background umeiona au arusha road kuna kimbinyiko?

Hapo alikuwa anatoa shukurani kushinda akazomewa "HATUJAKUCHAGUA, ONDOKA UENDE KWENYE GARI"

Ndio maana polepole kakataza kusheherekea kuepusha hizi adha, walikuwa wanapima upepo, ukawapuliza hawakuamini, Vumbi tiiii[emoji23][emoji23][emoji23]


Kawadanganye kina lemutuz huko
KWANINI UNADANGANYA WATU MCHANA KWEUPE.

MANENO YANAYOSIKIKA

"" WEWE NENDA HAUTUHUSU....TANGU TUKUCHAGUE NDO UNAKUJA LEO""


clip ya siku za mwisho mwisho kwenye kampeni za lala salama.
 
Hii pia ni Bora kuonyesha kutoridhika
Polisi hawatumii risasi kwa urahisi kuliko maandamano yanahatarisha Maisha ya raia.
 
Hivi kwanza hiyo bunge la ukoo wa ma sisiemu linaanza lini[emoji3525][emoji848][emoji848][emoji848][emoji855]
20200910123150_1157168149_8727185465758103542_710_725_80_webp.jpg
 
Si kwamba naunga mkono kinachoendelea kam Hakikufata utaratbu
(Kama kilikiuka utaratbu)
Siwezi kukubali UHUNI huu mpaka naingia kaburini.

Wametudharau sana sana sana WANANCHI.

kumbe machafuko tunashangaa yanatokeaje ni kama vitu hivi vya kipuuzi
 
NI MUONGO HUYU JAMAA ALIYEPOST.
HIYO CLIP YA SIKU NYINGI KIPINDI CHA KAMPENI ENEO LA MSALATO MNADANI.

TULIKUWA TUNAMSUBIRI RAIS APITE SASA HAKUSIMAMA WATU WAKACHUKIA.
Unaweza kudhibitisha kwa kutuletea tukio zima?

Kama huwezi we ni TAPELI
 
Ni hivi hivi ndivyo tutakavyowaona hao wabungeccccm siku ya kupanda majukwaaani[emoji15][emoji15][emoji15]
FB_IMG_16029060249174468.jpg
 
Back
Top Bottom