Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaha kumbe unakumbuka, alikua kama digidigi hapa jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha kumbe unakumbuka, alikua kama digidigi hapa jukwaani
Kuongoza acha manyooshe Halima muongo muongoSpika kazi yake kutetea au kuongoza Bunge, sheria si zipo endapo mbunge akisema uwongo, wamwache aongee sababu kuna kuadhibiwa.
Leo Halima anakamtwa liveHuyu Rango kwani ana shida gani na Mdee?
Naona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halima mdee yupo vizuri nona mjinga spika anatumia Nguvu kumuondoa kwenye hoja.
Ktk wabunge wote huyu Mdee na Mkumbo ndio walio ongea kwa reference.Kuongoza acha manyooshe Halima muongo muongo
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mimi pia huwa nakerwa na watu wanaojipendekeza, eti mama, mama, hadi aibu! Unakuta janaume jitu Zima, mama,mama, come-on! Tunaweza ku-survive bila kujipendekeza kwa namna hiyo. Unaweza kukuta hata mama yake mzazi hamuiti kwa heshima, adabu na mara kwa mara hivyo. Frankly I hate such habits.Achana na habari za Mama, hata sharia hairuhusu, huyu ni Raisi wenu na sio Mama Yako! Usitafute sympathy
Elewa spika kaliweka sawa kuna development oparation and investment, unajua hapo patawekwa katika kipengere kipi, tuwe makini tuache ushabiki.Tumekopa trillion 1 kuendeleza…..bandari halafu tunampa mtu….
AhhaaaaaMimi pia huwa nakerwa na watu wanaojipendekeza, eti mama, mama, hadi aibu! Unakuta janaume jitu Zima, mama,mama, come-on! Tunaweza ku-survive bila kujipendekeza kwa namna hiyo. Unaweza kukuta hata mama yake mzazi hamuiti kwa heshima, adabu na mara kwa mara hivyo. Frankly I hate such habits.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zina meno kuliko hizi Mahakama za CCM LumumbaZa South Afrika je ambazo zimeshindwa kumwajibisha zuma kwa kuwakabidhi nchi
Mizigo yote itaondolewa kwa reli hadi KwaraKwenye makubaliano ya mkataba tuwaambie DPWorld waipanue Mandela Road iwe njia Sita ili Lane mbiili ziwe za Malori ya kutoka Bandarini tu.