Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Nimekujibu ni
Kumbe sio kupewa madali yote ni sehemu tu ya badali, na serikali pia itamiliki sehemu kwa mjibi ya waziri. Gati 8 hadi 9 gati ya magari hayako kwenye mkataba, hauna uhusiano na bandali ya tanga na mtwara.
nimekujibu nimefuta nikakujibu nikafuta nikafuta nikakujibu hivi. Basi tuu nikae kimya
 
Manufaa


Kupunguza muda wa Meli kukaa Nangani kutoka Siku 5 hadi Siku 1

Muda wa kushusha Makasha utakuwa siku 2

Gharama za kusafirisha kupungua

Gharama za usafirishaji utatoka dollar 12,000 hadi 6000

Kuongezeka kwa Tani za mizigo

Kuongezeka kwa mapato kutoka Tril 7 hadi 29
 
Hii speech anayoisoma Prof Mbarawa ni msimamo wa Serikali au DP world?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…