Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Wamemvuruga Halima Mdee! Shortly wapitishe wasitupotezee muda
 
Akili ndogo kama punje ya haradani.
Mama Royal Tour sasa hoteli za kitalii vyumba havitoshi


Hili la ushirikiano wa kibandari ndani ya muda mfupi sana ujao usafirishaji wa mizigo hautatosha. Hata SGR ikikamilika haitatosha.

Mama anaupiga mwingi sana.
 
Watanganyika waarabu wanachukua ukanda wote wa bahari ya Hindi kuanzia Tanga, Bagamoyo, Dar, Lindi hadi Mtwara.

Sasa basi ikifika 2025 tusipokuwa makini kwenye uchaguzi mkuu kumuondoa Saa100 imekula kwetu mazima.
 
Mbarawa na Saa100 ni watu wavivu kufikiria na ni watu was iota kusumbus akili zao.
Kwa sababu hiyo anaona wacha na kila kitu kiulaini Ili nchi ipate fedha jambo ambalo halita kaa litokee,
We ushaona watu wa Zanzibar wana akili?

Mitihani ikisahihishwa bila upendeleo kula hatafauli hata 1
 
Back
Top Bottom