Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Surplus wali wewe
 
2025 ccm inaingia kwenye uchaguzi so hawawezi kuleta bomu..
Basi sawa Anne Kilango
 
Tangu lini wataalamu waliwahi kuwa na maamuzi ya hatima ya nchi hii zaidi ya hao wanasiasa wenu wajinga wajinga, watalaamu wanaamua nini katika nchi hii?
Vipi yule Mtaalamu wa mahesabu Professa Assad aliyefukuzwa na Magufuli baada ya kusema fedha zimeporwa?
 
Aisee hatuna kitu.
hatuna chetu tena, vitagawiwa kimoja baada ya kingine kimzahamzaha hivihivii
 
Huyo Mdee ndiyo aina ya wasomi wengi wa hapa Tz.Yaani unaingiza kujadili kipengele ambacho hakipo!Upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…