MANYEMA ALEX
Member
- May 3, 2023
- 51
- 55
Sawa lakini ana miaka 67 hapo alipo, bado anaitaHujamuona live, nikiwa mdogo nilikuwa napita hapo kwa PM Malecela ni jirani yetu kabisa mama anapaka sana mikorogo na make up za kutosha. Alikuwa na saluni yake hapo mjini kati Dodoma
Huu mkataba Magufuli kamwe asingeweza kukubali, hata hawa Waarabu wasingesogeza pua zao. kwa hili bunge Magufuli alikosea sana Taifa bunge la kijinga sana hili. Mama aliwekwa kwenye mnara pale Dubai kumbe wana lao. Huu muungano wa kijinga mno, Nyerere achomeke sawa sawa huko.Kwa huu Mkataba na aina ya Wabunge wachangiaji, laana aipate JPM kwa kuhujumu kura zetu na kutuletea takataka zilipo Bungeni.
Speaker, ni Dr wa Sheria, ila uelewa wake ni kama mtu wa Maendeleo ya Jamii.
Wabunge Wajinga ndio wachangiaji. Wale Vipanga kichwani wanajua ni mkataba wa Hovyo wametulia kuogoga kutumbuliwa.
Masikini imhotep na ajuza FaizaFoxy, naomba niwaulize, hivi huo u-smartness wa Samia haukuwepo kabisa kati ya mwaka 2016 hadi 2020?Samia yuko smart sana.
Madudu gani?madudu kama haya?
Ndio ujue kwamba wataalamu hawana lolote la kufanya kwenye hatima ya taifa hili zaidi ya wanasiasa, sasa utawalaumu kwa kipi?Vipi yule Mtaalamu wa mahesabu Professa Assad aliyefukuzwa na Magufuli baada ya kusema fedha zimeporwa?
Kwa vioi?Haya mambo tunaweza ona ni mep esi ila yana madhara makubwa sana kwa vizazi vijavyo.
Kabisa. Baada ya Kifo cha JPM tu. Waarabu wame mwagika Tz. Wezi tupu.Huu mkataba Magufuli kamwe asingeweza kukubali, hata hawa Waarabu wasingesogeza pua zao. kwa hili bunge Magufuli alikosea sana Taifa bunge la kijinga sana hili. Mama aliwekwa kwenye mnara pale Dubai kumbe wana lao. Huu muungano wa kijinga mno, Nyerere achomeke sawa sawa huko.
LumumbaJe nyakati hizo mlikuwa wapi?
Alikuwa !Halima James Mdee mbunge wa Kawe😂😂😂
Yai viza?Tulia anatema yai kumbe Huyu Spika ni mzungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mac ndugu yangu punguza jazba [emoji1787][emoji1787]Hayo madudu yanayodajiliwa kwenye hicho msichotaka kukiita mkataba ndio hayohayo yatakayowekwa kwenye mkataba, hakuna chochote kilichopingwa wala kurekebisha. Mnaita MoU ila logically ndio makubaliano (mkataba wenyewe)
Husikii hata wabunge wako vichaa wanau-refer hivyo?
Wewe subiri mada zinalingana na udogo wa akili zako uruke nazo, hii imekupita uwezo.
Lakini kwenye hili la uwekezaji wa Bandari Samia kaileta Kampuni sahihi ya DPWorldWajinga ndio wamepewa uwezo mkubwa wa kuamua.
Yai la mbuni