Dr.Bashiru huyuhuyu ambaye "aliwezeshwa" kuwa KATIBU MKUU ikulu?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nchi ya asali inatujia.....
Tunakwenda kupata NUSU YA BAJETI YA NCHI kila mwaka wa fedha kupitia bandarini......
Utafanyiwa maombi !Hata sasa!
Hana moral authority ndio maana tulimpinga, yeye ndio alikosoa mradi wa bandari Bagamoyo kivipi Tena asupport baada ya JPM kufariki? Huo ndio unafiki tunaoupinga.Wakati ndugai aliposema maneno Yale mlishadadia sana nyie chadema na kuungana na kushinikiza sana na makundi kwa makundi mkawa mnachochea,
Je Leo kiko wapi?Acha wabunge waamue nyie subirini matokeo.Mama anaupiga mwingi.
Usilazimshe mawazo yako kwangu, wabunge wenyewe wanajikanyaga Mara Hakuna mkataba lakini bandari wanasema wamesign mkataba. Bado mengi yanakuja utayaona.Kama hujaelewa hutaelewa
Hizo zote ni Sinema tu. Mdee mwenyewe ametengenezwa ili ionekane kulikua na uhuru na ushindani kwenye kulijadili hilo.Wengine wamechamba weee hawajakatishwa kwanini Mdee
Lakini sio maridhiano ya kiboya !Hata Mbowe yuko kwenye maridhiano
Hana vyeti ?!!!Bashiru hawezi kulingnishwa na huyu aliyetoka kuwa msambaza chai maofisi ya CCM hadi kuhongwa umakamu kisha kuupata ukuu wa nchi kwa kupewa?
Huyo aliyekutuma kuwa chawa, nikikuomba mtiririko wa elimu yake unaoeleweka unaujua?
Kwani Ubunge ni wa kiboya?Lakini sio maridhiano ya kiboya !
Kuna pahala niliona Samia ana masters..we una cheti gani ndugu!?Bashiru hawezi kulingnishwa na huyu aliyetoka kuwa msambaza chai maofisi ya CCM hadi kuhongwa umakamu kisha kuupata ukuu wa nchi kwa kupewa?
Huyo aliyekutuma kuwa chawa, nikikuomba mtiririko wa elimu yake unaoeleweka unaujua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiZungu amekaa kinafiki sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mdee kapiga kwenye mshono mpaka Spika wa mchongo kaingilia kati.Alikuwa anawavua nguo Mubashara!Noma Sana wakuuu.
Huyu dada apewe uenyekiti wa chama chetu, ana maono mkubwa.
Hizi sio kauli nzuri wala hamna tija. Nadhani tunaweza jadiri na kushauri vizuri kwenye haya mambo ya kitaifa.Bandari.
OK, tayari mmeshauzwa nyie manamba wa bara.
Watu milioni 60 wanazidiwa akili na wala urojo milioni 1