Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Dr.Bashiru huyuhuyu ambaye "aliwezeshwa" kuwa KATIBU MKUU ikulu?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bashiru hawezi kulingnishwa na huyu aliyetoka kuwa msambaza chai maofisi ya CCM hadi kuhongwa umakamu kisha kuupata ukuu wa nchi kwa kupewa?
Huyo aliyekutuma kuwa chawa, nikikuomba mtiririko wa elimu yake unaoeleweka unaujua?