Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

SGR wameshaanza kushusha mabehewa ya ghorofa second hand toka Ujerumani πŸ˜‚πŸ˜‚

Bado tunayasubiri yale mapya ya Korea
Watanzania ni watu hovyo sana. Hawana utashi wowote wa kusimamia mambo yao, bora tuuze tu kila kitu nina uhakika ukodishaji na uuzaji utaleta maendeleo.

Yaani mijitu isivyo na akili imekalisha makalio yao inafuatilia bunge ingetegemea kuna kitu bunge litafanya? Yaani mijitu hii ilivyo hovyo mara hii imeshasahau hilo bunge linajengwa na wabunge waliofikaje hapo walipo?

Hii tabia ya kuona kila jambo ni jipya ndiyo inalemaza hili taifa. Hawajui haya yote yalishapugiwa hesabu kabla hata ya uchaguzi ndiyo maana lilihitajika bunge na viongozi wa aina hii?
 
Kikubwa Watanzania jifunzeni kuongea kwa research, sio kwa mihemko na ushabiki.
Fuatilia kwa umakini ujue, elewa na ufahamu kwanza.

Elimu duni ni mzigoo
Nyumbu wanawategemea wafuatao :
1: Godbless lema
2: Aikael Mbowe
3:Tundu lisu
Namba 1& 2 elimu dunia ni ndogo sana hivyo wanaishi kwenye siasa za matukio ,namba 3 anayo elimu dunia ila anamihemoko kama vijana wengine ambao hawakuwahi kupata Elimu dunia
 
Usinilishe maneno ndugu, nimesema Samia yuko smart sana upstairs tena kuliko yule professa mtaalamu wa sheria na mambo ya "kanyaboya" Mr Magamba Kadubi.
Tatizo la Prof.Kabudi ni kupenda sana kuwekeza katika "HISIA" kumbe mambo mengine ya DUNIA huendeshwa KIUHALISIA.....

Ni aina ya wale wasomi wanaoishi dunia kuzichonga ndimi zao ili waonekane bora katika fani ya kuongea mbele za watu.....[emoji1787][emoji1787]
 
Ina maana haya mabadiliko yalishindwa kufanyika kwenye uongozi wa uliopo sasa?

Kupunguza muda wa kukaa nangani, hili nalo tulishindwa kuli manage kweli?
Na hasa tatizo lilikua ni nini? na ukikodisha unaondoa tatizo la msingi au unaliahirisha?
je utakodisha kila unaposhindwa kusimamia? Kama hakukodishiki itakuaje?

Serikali imeshindwa kutelekeleza wajibu wake wa msingi. Imekosa dira. LAKINI hakuna wa kuiwajibisha.
 
Passed!!🚢🚢🚢🚢
 
Salute,hbr ya leo,bunge la leo, wabunge woote hoja zao ni suti,zinafanana zoote,toka mchangiaji wa kwanza mpk mda huu saa saba na nusu,ni halima mzee tu ndio katilia mashaka mkataba huu.

Wengine woote ni kusifu,bkupongeza na kuunga mkono hoja. Sijui huyu mungu wao leo kawaanbia nini?

Kiufupi kamati ya ufundi ya DP imemaliza kazi.
 
Tulikuwa tumegubikwa na chuki za Kitanganyika.
[emoji1787][emoji1787]
Niliweka uzi humu ndani kuhusu chuki za "kitanganyika"...nikaishia kutukanwa matusi yote mpaka kuambiwa mimi ni mzanzibari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Duuuh yaani Mnyaki mimi muungwana leo napelekwa Chokocho Pemba badala ya kwetu ziwani Matema Beach Kyela ?!!![emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umekunywa "shengena"?!!!

Ni mbandandu ?!!!

Unaitaja TISS na kutuaminisha visivyopo....[emoji1787]

Huna adabu juu na nafsi yako ya ndani leo tushangae kumkosea adabu Amiri Jeshi wa majeshi ya ulinzi na usalama ?!!!

UKO USINGIZINI
 
Nachekaa km chizi hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kwa wabunge hawa, bandari imeshauzwaaa.

Mnyonge nyongeni haki yake apewe leo wengi wao wamechangia kwa hosia za Kizalendo pamoja na kwamba bado mila na desturi za Bunge zina wa bana.

Makofi ya na pigwa ya kutosha. Labda wangefikiriwa uwezekano wa alawansi ya makofi.
 
Punguza kuvuta bange



P
 

Hata mimi huwa sielewi watu hupata wapi muda wa kufuatilia bunge la CCM?

Spika alishazungumza kwamba bunge siku zote litaunga mkono juhudi za Rais, na kuna wakati fulani ashawahi kusema bunge lipo chini ya mamlaka ya Rais...

Sasa iweje leo mambo yabadilike...
 
Watanzania ni vilaza. Wakienda kulala wakiamka akili zinakua zime flash ndiyo maana hawana continuity
 
Waitara anafufua madudu ya Chama chake kuficha mikataba, hata huu mkataba wanajadili walichoelekezwa na mkuu wao wa nchi kwakua tu lilipamba Moto mitandaoni. Nitaandamana kupinga huu mkataba hata peke angu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…