Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mnyonge nyongeni haki yake apewe leo wengi wao wamechangia kwa hosia za Kizalendo pamoja na kwamba bado mila na desturi za Bunge zina wa bana.

Makofi ya na pigwa ya kutosha. Labda wangefikiriwa uwezekano wa alawansi ya makofi.
Kwa uzalendo ganiii? Hivi msongozi uli msikiliza vizurii???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo ndio liko hapo. WAMESHINDWA (hawa wavivu wa kufikiria)! lakini hawataki kutoka.

Sasa kwakua WAMESHINDWA, wanataka kutumaminisha kwamba NCHI imeshindwa

Jiulize, kama wameshindwa kuisimamia na kuiendsha Bandari kwa ufanisi wa kiwango cha juu?

Wataweza: Kusimamia na kuendesha SGR kwa ufanisi hata wa wastani? - hiyvo watakodisha?
Wataweza: Kusimamia na kuendesha TTCL, ATC, TANESCO etc kufikia kupata faida? - hivyo watakodisha?
etc
 
Hao wabunge naona wanatuoa watz wore hatuna akΓ­li. Sijaona hoja nyeti inayojadiliwa .

Tunasubiri kuingia barabarani Hadi kieleweke
 
Akili kama hizi za Waitara zinapewa nafasi ya kuamua mambo muhimu ya Taifa na spika hataki kusikia hata Taarifa.

πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…