Bless mom
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 948
- 2,040
Yaaan mbungee anapopomaa tuuuuAkili kama hizi za Waitara zinapewa nafasi ya kuamua mambo muhimu ya Taifa na spika hataki kusikia hata Taarifa.
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaan mbungee anapopomaa tuuuuAkili kama hizi za Waitara zinapewa nafasi ya kuamua mambo muhimu ya Taifa na spika hataki kusikia hata Taarifa.
😂😂
Nimeshawahi kushauri humu kwamba kwa hatua lilipofikia suala hili, Watanganyika wanatakiwa Kuanzisha MKAKATI MAALUMU NA WA DHARULA WA "KUZIHAMI" BANDARI ZA TANGANYIKA pamoja na Rasilimali nyinginezo za Tanganyika. Suala hili linatakiwa lifanyike mara moja bila ya kuchelewa.Hao wabunge naona wanatuoa watz wore hatuna akÃli. Sijaona hoja nyeti inayojadiliwa .
Tunasubiri kuingia barabarani Hadi kieleweke
Umeandika kitu kikubwa sanaNa hasa tatizo lilikua ni nini? na ukikodisha unaondoa tatizo la msingi au unaliahirisha?
je utakodisha kila unaposhindwa kusimamia? Kama hakukodishiki itakuaje?
Serikali imeshindwa kutelekeleza wajibu wake wa msingi. Imekosa dira. LAKINI hakuna wa kuiwajibisha.
Walionataka Mama afeli ni wengi lakini amewa prove wako wrong.Eti Mama wa taifa😄.
Hili ni mojawapo lilifanya nione JPM hakua na nia njema kuwachukia wapinzani hasa bungeni!!Naona umuhimu wa wapinzani kuwapo bungeni, Magufuli umetuletea balaa kwa kupitisha pitisha wabunge wa ccm kwa mabavu
Nani ambae hajaogopa, maisha yaje kipindi hicho? Labda msiba tu.Sasa mbona nyakati hizo (2016 -2020) uliiogopa JF kama ukoma!
Hakuna cha maana ulichoandika hapa zaidi ya michambo na taarabu, hii sio sehemu ninayoiweza hivyo nachagua kukupuuza.Hana vyeti ?!!!
Hana elimu ?!!!
Unataka awe profesa ili kuwa Rais ?!!!
Tunao wengi hapo UDSM tuwafanye wawe marais basi.....
Chuki yako inauviza tu moyo wako....
Elimu ya mama inajulikana na kila mmoja wetu....yeye si mhandisi wala daktari wa binadamu......
Hivi ujinga utawatoka lini ?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mzee wa TAMISEMI aibu ipi sasa ?!!![emoji15][emoji15]Aibu Tupu Hii Tanzania
[emoji106][emoji1787][emoji1787]Mang'ombe hayajui hilo, yapo tu yanapingapinga hapa.
Kwahiyo awe mama wa Taifa?Walionatama Mama afeli ni wengi lakini amewa prove wako wrong.
Mkuu dawa saiv ni kupiga dua kali na maombi Nchi nzima ili kutuondolea wasio na nia njema ya maslahi kwa Taifa!!Mungu aingilie kati suala hili, wabunge wetu hawatabiriki.
Mzee kwa hii stage ni bora tufanye revolution tuongozwe na watu baki sio lazima chama tena tufanye hata leo sio lazima kusubiria 2025Halafu chama gani mbadala cha kuchukua dola!!?
Lini mmekiandaa Mkuu!!?
Ngoja tuone!
Tutaingia mkataba na kampuni nyingine kuendesha serikali lkni sio CCmHalafu chama gani mbadala cha kuchukua dola!!?
Lini mmekiandaa Mkuu!!?
Ngoja tuone!
Matokeo ya uchafuzi wa Mwaka 2020 ndio hayo...Kwa hizi kauli zake hapa mwisho basi hili bunge ni takataka tu.
Eti bunge ni la CCM na hakuna mbunge anaeweza kupinga hoja ya mama samia?
Hili bunge ni takataka kabisa.