Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Umeandika mazuri ya kufikirisha...

Ila....

Tunywe supu kwanza nyama tutazikuta huko chini.....
 
Kwa watanzania gani? hawa? Kwa akili za wengi wanaona hilo la bandari haliwahusu.
Kuna nchi hazitaki ujinga na watawala, siyo Tz. Na CCM wanawajua vizuri, wanaweza kuiuza nchi yote na watanzania wakatulia tuli. Hata hili utaona litakavyopita kimya.
 
Watanzania wengi haswa vijana Wana Sifa hizi:

  • Wavivu wa kusoma.
  • Wagumu kuelewa.
  • Wepesi kufanganyika
  • Fuata mkumbo.

Leo wakuelewa wataelewa.
Na sifa zote nne ukizichanganya zinawafanya washikwe masikio kirahisi sana, wanadanganyika hovyo tu.
 
Sibishani na mjinga mmoja , najua nini nasema mbele Mungu ,na sio kwa binadam mwenzangu ambae najua wote tufukiwa siku moja na kila mtu kwa mda wake ,pumbavu
Wewe ndio unamjua Mungu sana zaidi ya WENGINE?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Haya mkuu kwani "ulevi" uko wa aina nyingi.....
 
achana na mambo ya Mungu, hapa ni physical confrontation
 
Uchaguzi ujao kalichukue hilo jimbo shostito.....[emoji1787][emoji1787]
 
Kwa watanzania gani? hawa? Kwa akili za wengi wanaona hilo la bandari haliwahusu.
Kuna nchi hazitaki ujinga na watawala, siyo Tz. Na CCM wanawajua vizuri, wanaweza kuiuza nchi yote na watanzania wakatulia tuli. Hata hili utaona litakavyopita kimya.
Unachosema ni kweli kabisa.
Lakini Waingereza Wana msemo wao kwamba" there is more than one way to skin a cat"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…