Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Classmate anazingua Carasco Putin
Mkuu vipi huko kwenu Kenya wabunge wake wakoje katika uchambuzi wa mambo ?!!Watanzania ni watu hovyo sana. Hawana utashi wowote wa kusimamia mambo yao, bora tuuze tu kila kitu nina uhakika ukodishaji na uuzaji utaleta maendeleo.
Yaani mijitu isivyo na akili imekalisha makalio yao inafuatilia bunge ingetegemea kuna kitu bunge litafanya? Yaani mijitu hii ilivyo hovyo mara hii imeshasahau hilo bunge linajengwa na wabunge waliofikaje hapo walipo?
Hii tabia ya kuona kila jambo ni jipya ndiyo inalemaza hili taifa. Hawajui haya yote yalishapugiwa hesabu kabla hata ya uchaguzi ndiyo maana lilihitajika bunge na viongozi wa aina hii?
Muanze mafundisho yenu ya kulazimishana na kutishanaHakuna atakaelazimishwa kuvaa kanzu Bandani,Walokole hofu yenu nini?
Ni bora kuliko ule utumbo wa mjinga mwenzako Waitara.Hana hoja ni ubishi wa kike tu.
HUU NI MCHANGO WA DHAHABU HASWAA[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]Nyumbu wanawategemea wafuatao :
1: Godbless lema
2: Aikael Mbowe
3:Tundu lisu
Namba 1& 2 elimu dunia ni ndogo sana hivyo wanaishi kwenye siasa za matukio ,namba 3 anayo elimu dunia ila anamihemoko kama vijana wengine ambao hawakuwahi kupata Elimu dunia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naibu waziri anatoa taarifa ya mipasho.Mhuni 1 tena??
Taarifa inakuja na vichambo tena kutoka kwa mwanaume heheeee
Tulia atabaki kuwa spika wa hovyo kuwahi kukalia kiti kile pale bubgeni.
[emoji1787][emoji1787]Nachekaa km chizi hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kwa wabunge hawa, bandari imeshauzwaaa.
Machozi ya nini unalia dada umekosa mmeHapo vip!!
Sitaki niongee maneno mengi kuhusu huu mkataba wa Dp world na mambo ya loliondo,kwasababu mambo mengi yamewekwa wazi dhidi ya ubaya wake kwa watanzania.
Kwasababu samia hataki kusikiliza maoni,madai na malalamiko ya watanzania wanyonge basi kupitia andiko hili watanzania wanyonge tunamkabidhi Mungu malalamiko yetu na tuna imani atatujibu kwa haraka.
Unapuunza maamuzi ya watanzania wengi ukijiona wewe una akili kuliko wao,hakika umejidanganya sana.
Naomba yeyote yule anayekubaliana na kumkabidhi Samia kwa Mungu ashughulike naye comments AMEN.