Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Huyu dada anaupiga mwingi sana, anaongea point sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bora ila afadhali chademaHalafu chama gani mbadala cha kuchukua dola!!?
Lini mmekiandaa Mkuu!!?
Ngoja tuone!
Mbowe wamemsagia kunguni sana.Mhuni 1 tena??
Taarifa inakuja na vichambo tena kutoka kwa mwanaume heheeee
Umeandika mazuri ya kufikirisha...Kuweni specific ajira zipi za Watanzania zitakazo lindwa ili ieleweke. Kwa wafanyakazi wa PTA ukweli ni kuwa panga kubwa linakuja. Muwekezaji analeta mifumo ya kisasa. Mifumo yote ya kisasa ni robots oriented. Kazi ya watu 100 ni robot 1 tu pengine na operator mmoja.
Suala la kusema anakusanya mizigo mingi ni mjinga tu anaye weza kudhania ni lazima hiyo mizigo apitishie DSM. Huyu anatafuta na bandari za Kenya akisha pata mjue mtagawana hiyo mizigo. Hao mnao waita washindani ambao walikuwa wanapitisha mizigo hapa kwetu kabla hatujafungamana na DP wanaweza wasipitishe mizigo yao DSM. Yako mambo mengi mno ya kufikirisha si rahisi/mteremko.
Na sifa zote nne ukizichanganya zinawafanya washikwe masikio kirahisi sana, wanadanganyika hovyo tu.Watanzania wengi haswa vijana Wana Sifa hizi:
- Wavivu wa kusoma.
- Wagumu kuelewa.
- Wepesi kufanganyika
- Fuata mkumbo.
Leo wakuelewa wataelewa.
Nimempenda bure kwa kweliKenani: Mh Spika kwanza niseme kura yangu ni ya hapana.
Kwani Ubunge ni wa kiboya?
Wewe ndio unamjua Mungu sana zaidi ya WENGINE?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]Sibishani na mjinga mmoja , najua nini nasema mbele Mungu ,na sio kwa binadam mwenzangu ambae najua wote tufukiwa siku moja na kila mtu kwa mda wake ,pumbavu
Bunge limejaa wachumia tumbo tu hamna watu hapa. Wanaojielewa hapa ni wachache na huyu dada ni mmoja wapo.Nimempenda bure kwa kweli
achana na mambo ya Mungu, hapa ni physical confrontationHapo vip!!
Sitaki niongee maneno mengi kuhusu huu mkataba wa Dp world na mambo ya loliondo,kwasababu mambo mengi yamewekwa wazi dhidi ya ubaya wake kwa watanzania.
Kwasababu samia hataki kusikiliza maoni,madai na malalamiko ya watanzania wanyonge basi kupitia andiko hili watanzania wanyonge tunamkabidhi Mungu malalamiko yetu na tuna imani atatujibu kwa haraka.
Unapuunza maamuzi ya watanzania wengi ukijiona wewe una akili kuliko wao,hakika umejidanganya sana.
Naomba yeyote yule anayekubaliana na kumkabidhi Samia kwa Mungu ashughulike naye comments AMEN.
Uchaguzi ujao kalichukue hilo jimbo shostito.....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa mkoa wangu msongoziii, anapuyangaaa hadi aibuu, huyo baba wa pembeni yake anatamani kucheka ila anajizuia tyuuh.
Anatia aibu huyu, na hilo dela lake ya buku teni, mxxxxiiiiiieeeeewwwww!!
Ubunge viti maalumu ufutwee, aibu hii sasa. Khaaah
Huwezi kunifundisha chochote, mimi tayari nimekupuuza uchawa wako. Nafikiri busara ni kuendelea kuimba mapambio humu.Tulia Chief, utakuja kuelewa hapo baadae.
Hana hoja ni ubishi wa kike tu.Huyu Aida Kenani jitahidi.
Unachosema ni kweli kabisa.Kwa watanzania gani? hawa? Kwa akili za wengi wanaona hilo la bandari haliwahusu.
Kuna nchi hazitaki ujinga na watawala, siyo Tz. Na CCM wanawajua vizuri, wanaweza kuiuza nchi yote na watanzania wakatulia tuli. Hata hili utaona litakavyopita kimya.