Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mkuu vipi huko kwenu Kenya wabunge wake wakoje katika uchambuzi wa mambo ?!!
 
Mh Aida anapambana na spika kuhusu maneno ya Mbowe
Chinekeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kumekucha Spika anataka clip isikilizwe,[emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu,

Mh Mbowe anahutubia now! Tumsikilize.

Video yake itachezwa akifafanua mkataba huu tunaopigia kelele. Mh Spika ameruhusu sauti yake iwekwe bungeni.

Tumsikilize Mwamba.
 
HUU NI MCHANGO WA DHAHABU HASWAA[emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Spika mbona analeta mambo ya kijiweni bungeni.

Hawezi deal na mihemko bungeni
 
Nachekaa km chizi hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan kwa wabunge hawa, bandari imeshauzwaaa.
[emoji1787][emoji1787]

Sasa imeuzwa vipi mrembo ?!!!

Hata mkataba haujaingiwa?!!!
 
Machozi ya nini unalia dada umekosa mme

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…