Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dunia ya serikali kufanya biashara inazidi kuwa NYEMBAMBA.....
 
chiefwheep leo yuko wapi naona spika kajigeuza mtetezi na mfafanuzi wa hoja za serikali
 
Huwezi kunifundisha chochote, mimi tayari nimekupuuza uchawa wako. Nafikiri busara ni kuendelea kuimba mapambio humu.
Ahaa...kwahiyo ulitaka tuwe na fikra moja kama wale Wanyamapori maarufu ambao mmoja wao akivuka Mto Mara woote wanamfuata hata kama yeye analiwa na Mamba? Sijui wanaitwaje wale.

Look Bro, mimi fikra zangu ni HURU huwa nayaangalia mambo kivyangu

Ningekuwa namtuka Samia ungenipa likes nyingi sana, huo ni utoto.
 
[emoji1787][emoji1787]

Sasa imeuzwa vipi mrembo ?!!!

Hata mkataba haujaingiwa?!!!
Uduguuu nawee umepewa v8 0 kilometers?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna uko motooo sanaaa? Kwemaa??
 
Hisia zako tu....

Sasa wabunge walione jambo adhimu lenye faida na tija walipinge "kimbango"?!!![emoji1787][emoji1787]

DP WORLD wanakwenda kutupa NUSU YA BAJETI YA FISCAL YEAR...

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
 
Mimi nliachana na mambo ya siasa nafuatilia mpira tu hata kuingia humu jukwaa la siasa sio kwamba siwezi tena

Hapana .... Nligundua tu mambo mengi Tanzania kuyabaadilisha hayawezekani

Hii nchi imeoza kiasi cha kwamba haitengenezeki tena imeoza na inanuka sana
Wananchi wameshazoea hali ya kunuka na wanaona Ni sawa wapinzani wananuka lakini ccm wananuka zaidi
Kibaya zaidi huko ambako nliamua niwe busy kwenye mpira nako siasa zmeanza kuingia kunanuka nako

Hii nchi hakuna furaha ukisikia harufu ya kunuka inabidi ukasirike lakini wananchi hawakasiriki tena
Watasema tu pananuka pale mavi hawawezi kuzoa na viongozi wanazidi kunya wawezavyo sababu wanajua wananchi hatuna ubavu

The failed state.......
 
Yuda alijuta kwa kuchukua vipande therathini na akapasuka.!!! Je huku kwetu hakuna namna ikatokea kama ya Yuda????
 
Sibishani na mjinga mmoja , najua nini nasema mbele Mungu ,na sio kwa binadam mwenzangu ambae najua wote tufukiwa siku moja na kila mtu kwa mda wake ,pumbavu
Hahaaaa jamaa sijui unajiita nabii, shehe, Mganga wa kienyeji au Mamajusi. Una mikwara hewa na kwa kunitukana sijui kama kuna Mungu hapo kwako labda miungu. Huwa mna mbwembwe sana vijana nyie ili muonekane wa maana. Nimekuuliza swali, nini tatizo kwenye hilo? Hujibu una kazi ya kuniletea taarabu.
 
Mnyonge nyongeni haki yake apewe leo wengi wao wamechangia kwa hosia za Kizalendo pamoja na kwamba bado mila na desturi za Bunge zina wa bana.

Makofi ya na pigwa ya kutosha. Labda wangefikiriwa uwezekano wa alawansi ya makofi.
Sasa hisia za kizalendo zisikujae?!![emoji1787]

Unaona kabisa taifa linakwenda kupata NUSU ya bajeti ya kila "fiscal year" kupitia DP WORLD....[emoji120]

#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
 
Tuzidisheni dua, Corona imeanza kuchanganya tena kazi inaweza kuwa rahisi,tena safari hii ifyeke cream yote ya CCM ili nchi ipone,wote tuseme amen!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…