Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Unataka kuona WANAMTUKANA?!!!Bunge la leo ni kumsifia Rais tu hakuna mpya CCM watakachofanya. Tujipange 2025 huu upumbavu usijurudie.
Sasa hisia za kizalendo zisikujae?!!
Unaona kabisa taifa linakwenda kupata NUSU ya bajeti ya kila "fiscal year" kupitia DP WORLD....
#SiempreSSH
#MamaAnaupigaMwingi
Balaa mkuu wangu [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbavu zangu.
Inabidi Mbowe ampe Kitengo ndugu johnthebaptist pale Ufipani,maana siyo Kwa hii coverage anayowapa CHADEMA na viongozi wakeMwamba Mbowe ameliteka Bunge Kuhusu Tanganyika
Muda si mrefu Mbowe atalihutubia Bunge kupitia clip hiyo iliyohifadhiwa kwenye Simu ya mh Aida mbunge Pekee wa Chadema wa kuchaguliwa
Haijawahi kutokea tangu Uhuru
Kuandika tu mtihani....[emoji1787][emoji1787]Kwanza mama kwann karuhusu hili kujasiliwa wakati anajua Kuna shida kwenye hili? TISS wanachekelea hawaoni madhara kwa Sasa it's non sense
We mzenji mkunanazi, katika hili sakata la uwekezaji wa Bandari nimegundua, Wazanzibari wanapenda sana Muungano kuliko Watanganyika.Unataka kuona WANAMTUKANA?!!!
Matusi si jadi yetu....
Uungwana ndio VAZI LETU....
#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
Ajira za Bandari, na katika kuiendeleza maanake wataitanua ili ikidhi volume hapo tena kutakuwa na ajira nyingine.Mkuu hofu yangu hili swala la ajira ni ajira za Aina gani? Jamaa wanatoa
Kuandika tu mtihani....[emoji1787][emoji1787]Kwanza mama kwann karuhusu hili kujasiliwa wakati anajua Kuna shida kwenye hili? TISS wanachekelea hawaoni madhara kwa Sasa it's non sense
Mungu hatanyamaza juu ya hili, vilio vyetu atavisikia.Mkuu dawa saiv ni kupiga dua kali na maombi Nchi nzima ili kutuondolea wasio na nia njema ya maslahi kwa Taifa!!
Kuifupi mkataba huu ni wa milele kabisa!"Mkataba huu utakuwa hai mpaka pale ambapo shughuli za miradi zitasitishwa, au kuisha kwa muda wa mikataba ya nchi mwenyeji na mikataba ya miradi, msingi wa mkataba huu kuendana na mikataba ya miradi ni kutokana na kwamba unaweka msingi unaowezesha kuingia na kutekelezwa kwa mikataba hiyo nchini"-Prof.Makame Mbarawa - Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi
#ITVUpdates
Wapi pameandikwa piga screen shot ya mkataba ulete hapa sio maneno bila mwandiko ya mkatabaAjira za Bandari, na katika kuiendeleza maanake wataitanua ili ikidhi volume hapo tena kutakuwa na ajira nyingine.