Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Binti mweupe pembeni ya kigwangala mbona mzuri hivi? Anaitwa nani? Nipeni namba yake nikamie.
Muda ni mchache🙂Mmh Leo Mambo Ni mengi Sana
Ni kwa mujibu wa Mbunge Msukuma.Wapi pameandikwa piga screen shot ya mkataba ulete hapa sio maneno bila mwandiko ya mkataba
Mbowe mbaguzi kikanda ,mchumia tumbo ,mlafi ,husuda ,fisadi anafaa kurudishwa jelaMbowe yupo sahihi Rais Samia hana uchungu na Tanganyika.
Wewe bakia kulialia kama mwanamke anayelilia mapenzi.View attachment 2652580
Huyu Binti mweupe pembeni ya kigwangala mbona mzuri hivi? Anaitwa nani? Nipeni namba yake nikamie.
Sijui kama kweli hili mkuu ngoja tusubiri waje tuombe diliAjira za Bandari, na katika kuiendeleza maanake wataitanua ili ikidhi volume hapo tena kutakuwa na ajira nyingine.
HahahahahaHuyu Nape anamaanisha nini kua auwe watu au?
Anajikaza kuongea sauti yenyewe kama amemeza churaNape anachambua mkataba au anapigia kampeni mkataba na Samia?
Watu kama nyinyi mta haribu ..itafika kipindi wata ficha izi contact zao acheni acheni