Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Anapenda sana ubabe huyu kijana, atapata mwisho mbaya mliokaribu nae mwambieni hii nchi ni ya kidemokrasia atutolee mabavu yasiyo na kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamkaripia Mbowe. Hajasimama kuongelea agenda iliyopo mezani anazungumzia maridhiano na Mbowe.Nape anamkaripia nani?
Tahila kweli wewe, ebu Kanye ukalale. Msukuma ndo mkataba? Nimesema leta kifungu cha huo mkataba hapaaNi kwa mujibu wa Mbunge Msukuma.
Mbunge afiche namba za nini? Huyo ni mwajiriwa wa wananchi. Maboss zake lazima wawe na namba zake.Watu kama nyinyi mta haribu ..itafika kipindi waya ficha izi contact zao avheni acheni
Matokeo ya nini kwani kuna mechi ya mpira pale?Wapige tu kura sasa. Wanamaliza hewa na umeme happ mjengoni wakati matokeo wanayo tayari.
Nape kapandisha mpk mabega anataka kupaaMwamba Mbowe ameliteka Bunge Kuhusu Tanganyika
Muda si mrefu Mbowe atalihutubia Bunge kupitia clip hiyo iliyohifadhiwa kwenye Simu ya mh Aida mbunge Pekee wa Chadema wa kuchaguliwa
Haijawahi kutokea tangu Uhuru
Sijui kama kweli hili mkuu ngoja tusubiri waje tuombe dili
Huyu kichaa pamoja na yule February huwa wanadhani hii nchi ya kwao.Anapenda sana ubabe huyu kijana, atapata mwisho mbaya mliokaribu nae mwambieni hii nchi ni ya kidemokrasia atutolee mabavu yasiyo na kichwa
Unawaamini?Kumbe sio kupewa madali yote ni sehemu tu ya badali, na serikali pia itamiliki sehemu kwa mjibi ya waziri.
Gati 8 hadi 9 gati ya magari hayako kwenye mkataba, hauna uhusiano na bandali ya tanga na mtwara.
Yoyote anaekaa upande wa kijani hawezi kuambiwa lolote.Ivi huyu spika mbona amwambi Nape ajikite ktk kuchangia azimio na aio vinginevyo
Nape anaamini bila kuteuliwa na Rais huyo Rais hafaiNape anamkaripia nani?