Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Ninyi wapumbavu si ndio mlikuwa mnafurahia hao makahaba wa mbogamboga na hao wa kununuliwa toka chadema kwa kuhongwa kuingizwa humo bungeni ?
 
DP WORLD NI WAWEKEZAJI UCHWARA. NI WEZI ambao wameamua kushirikiana na Wabunge ambao ghafla wamekuwa makuwadi wao.
 
Unaweza kuishia kucheka tu[emoji1787]

Hivi ARAB CONTRACTORS tulioingia nao mkataba ambao haukupelekwa bungeni si WAARABU?

Hivi mkataba wa SGR na Yerpi Merkez ambao nao ni waturuki ulipelekwa bungeni kujadiliwa?!

Eti hawa waarabu wa Dubai walikataliwa MAREKANI kwa sababu za kiusalama....Ugaidi ?!!!

Dubai na Ugaidi wapi na wapi ?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kongole kwake mh.Rais SSH kwa kuithibitisha dunia kuwa DEMOKRASIA imetamalaki Tanzania.

Rais SSH anakuwa rais wa kwanza kuwa muwazi katika mikataba mikubwa.....

Mh.Chifu Hangaya ni mzalendo wa kiwango cha kupigiwa mfano.

Ataandikwa kwa wino wa dhahabu kama mwanamke wa shoka.

Uingereza wanamkumbuka IRON LADY "MAGRETH THATCHER"....Tanzania tunaye THATCHER wetu kutoka Makunduchi.

Mwezi wa 7 nitakwenda Makunduchi katika sherehe za MWAKAKOGWA(kuoga mwaka) nitambike na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa Rais mzalendo ,mwanademokrasia nguli ,msikivu ,mwenye huruma na maono.


#Kupitia DP WORLD ninajiandaa kuiona nusu ya bajeti ya nchi inapatikana kila "fiscal year"[emoji7]

Mwenyezi Mungu atuhifadhie mpendwa Rais wetu chifu Hangaya SSH ,amen amen amen[emoji120]


Mkunazi Njiwa
Kwa sasa kwetu Matema Kyela[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mnasingizia corona.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • ABF204E3-971D-4767-8EF2-B1340942E217.jpeg
    65.5 KB · Views: 1
  • 161FBB1A-16FC-451A-854C-1E7A9B694739.jpeg
    64.5 KB · Views: 2
  • C1E4E6E1-1011-43A6-BC78-1FD20E8D37DD.jpeg
    57 KB · Views: 1
Huu ujinga unaoitwa maridhiano toka mwanzo tulijua utatumika kama sehemu ya kutioana woga. Waliokuwa wanaona maridhiano ni kitu cha maana, hayo ndio masimango yake. Mbowe amekimbilia jambo lisilo na maana, saa wanamuona msaliti wa maridhiano uchwara.
 
Hahahaha,Nape ninaona upo kwenye kambi yako sasa.Magufuli alifanya vizuri kukukomesha.
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye hili Taifa na ni wakati wa kuamka sasa, Siku zote Raisi wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania ana dili na Tanzania Bara kama ndio Tanzania nzima, sijawahi sikia Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatoa hata kipande cha Aridhi Zanzibar kwa ajili ya uwekezaji fulani,

Hii maana yake Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hana mamlaka na aridhi ya Zanzibari ila ana mamlaka na aridhi ya Tanzania Bara tu.

Watanganyika Mungu atatushangaa siku ya kiama kama kweli opo, Mungu atatushangaa kiwango chetu cha ujinga tulicho kuwa nacho na kushindwa kutetea Mali za Babu zetu.

Kumbuka hizi Mali ni za Babu zetu walipigana na Mkoloni lakini leo hii sisu hatuwezi kuzilinda.


kuna sehemu niliona Mdau anauliza kwamba ni nani anaye simamia mali za Tanganyika kama Tanganyika? make Raisi ni msimamizi au mlinzi wa mali za Tanzania ingawa sana ana dili na mali za Bara tu, sasa vipi mali za Tanganyika?

Make bila Tanganyika kuwa na msimamizi wa mali zake tunaenda kuumia sana awamu hii, ni lazima sasa Tanganyika iwe na msimamizi wa mali zake ukiachana na za Tanzania nzima.

Vizazi vijavyo vitatushangaa kiwango cha ujinga tulicho kuwa nacho.
 
Tumechelewa sana, tuungane tuwe nchi moja kamili na serikali moja.
Baba wa Taifa alishagharamika sana kwa pesa za Watanganyika kuikomboa Zanzibar.

Operesheni ya kumuondoa Sultani Zanzibar.
Chama kilichoongoza Mapinduzi Zanzibar kilikuwa cha Mwalimu Nyerere.
AFRO-SHIRAZI ASP, Mama yake ni chama cha African Association mtoto wa Tanganyika African Association ya Mwalimu.

Alipounda AFRO-SHIRAZI usiku wa tarehe 5 February 1957 pale Rahaleo alikuwepo yeye mwenyewe Mwalimu akiongozana na katibu wa Zebuir Mtemvu.
Siku hio Mwalimu akamuajiri Abeid Karume wa Malawi na Thabit Kombo kuwa viongozi wa chama hicho.

Yalijaribiwa Mapinduzi mara 11 yakafeli kwa sababu ya watu kuvujisha siri kwa Sultani.
Hata yale 1961 waafrika wengi wakafungwa na waarabu na Mwalimu akawaletea wanasheria wazungu.

1963 Sultani akaomba Mamlaka kamili kwa mwingereza ili ajiunge kisiasa zaidi na nchi za Kiarabu apate misaada ya kupambana na Nyerere na Waafrika kwa ujumla.

October 1964 Waingereza wakaipokonya Mombasa na Pwani ya Kenya kwa Zanzibar kama maandalizi ya kumpa mamlaka kamili Sultani.
10 December 1963 Mtawala wa Uingereza anaondoka Zanzibar ili Zanzibar ipinduliwe na waafrika kwa msaada wa Uingereza.

8 January 1964 Meli ya silaha za kivita zakabidhiwa kwa Oscar Kambona Daressalaam ambae Kambona alikuwa ni mwingereza askari na Waziri wa Ulinzi wa Tanganyika.
Viongozi walioajiriwa na Nyerere kuongoza Mapinduzi wafichwa Tanganyika.

12 January 1964 Maaskari Waingereza weusi wenye asili ya Tanganyika na maaskari wa Nyerere waanza kazi wakitumia zana za kivita za kisasa, wakiwepo kina Ibrahim Makungu na Edington Kisassi mwingereza mwenye asili ya Moshi.

Vita viliendelea Waingereza wote wakiwa wamekusanyika kwenye hotel moja Mji Mkongwe Forodhani wakicheza na kulewa na kusherehekea kurudisha nchi kwa waafrika walioichukua 1836 walipomleta Sultani feki wa kwanza Sayyid Said tokea utumishi wa British India Company Mumbai.

halafu leo vinyani vimeletwa juzi tokea Congo na Tippu Tipp wanabana pua na kujiita wenye visiwa.
Serikali moja ndio dawa halafu wasukuma tuhamie Zanzibar tukale neema yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…