Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Wakuu, nijulisheni. Kama tunaweza kuongoza Wizara, Idara nyeti na kubwa, tunashindwaje Bandari?
Bandari ina ukubwa kuliko wizara??
Tunawekeza kwenye ndege, reli. Bandari imekuwaje.
Nielewesheni mimi mkulima wa mihogo.
 
Wakuu, nijulisheni. Kama tunaweza kuongoza Wizara, Idara nyeti na kubwa, tunashindwaje Bandari?
Bandari ina ukubwa kuliko wizara??
Tunawekeza kwenye ndege, reli. Bandari imekuwaje.
Nielewesheni mimi mkulima wa mihogo.
Kuna Wizara mnayoongoza Ina Ufanisi?
 
We exist to make the world’s trade flow better, changing what’s possible for the customers and communities we serve globally.

We’re rapidly transforming and integrating our businesses – Ports and Terminals, Marine Services, Logistics and Technology – and uniting our global infrastructure with local expertise to create stronger, more efficient end-to-end supply chain solutions that can change the way the world trades.
242931665_1692552097610787_5593809916688724409_n.jpg
244072582_1692551537610843_8334166214694038816_n.jpg
 
Ndo muwauzie Bandari yetu milele pasina na aibu,maana hiki.kizazi cha wajinga,je watoto na wajukuu? wetu watakuwa wajinga kama sisi hadi muuze bandari yoteyote
Watoto wako na wajukuu watasema mlikuwa kizazi cha kipumbavu sana ,kizazi kinachojiangalia chenyewe tu pasina kujali kesho ya wanenu ,
Basi uzeni hata miaka 100? milele ?.
Iyone mitumbo mkubwa,fyuuu
 
Kushirikiana kwa makampuni ya Simu duniani ni jambo la kawaida.

Hiyo picha haina mashiko. Sisi tunakomaa na ishu ya bandari tu wasiturushie habari ndogondogo za kututoa katika reli
 
Kushirikiana kwa makampuni ya Simu duniani ni jambo la kawaida.

Hiyo picha haina mashiko. Sisi tunakomaa na ishu ya bandari tu wasiturushie habari ndogondogo za kututoa katika reli
Eti Waarabu tayari pia wako mezani kujadili BRT? Inaaminika Mwarabu ni mzuri kwenye logistics kuliko races zingine zote.


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom