Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utaongeaKwa mtu uliye na mashaka au ambaye huelewi, it's the best approach kuchelewa kuamini!
Wabunge hawawezi kuuza nchi yao hata siku moja; isipokuwa mtu au kikundi cha watu
Nakwambia nimeshangaa sana kukuta statement hii online toka Kwa mama huyu hatari kabisa Kwa nchi hii...Amepata shida kufanya shriki na waarabu
Tanganyika itamtafuna hawatafaidika kuiuza Tanganyika watapata mateso na majuto
Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.Hatimaye kinara wa bunge la CCM Spika Dr Tulia amejitokeza hadharani na kusema kuwa bunge bado halijapitisha Azimio la kuipa ..
Nakwambia nimeshangaa sana kukuta statement hii online toka Kwa mama huyu hatari kabisa Kwa nchi hii...
Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.
P
Sio alienda Morocco kuhusu masuala ya dini??Nilipata kusoma amepelekwa uarabuni kupongezwa kuendesha hotuba ya kuuzwa nchi
Na hawawezi kuwapatia hiyo elimu, maana wanajua wapo hapo walipo kutokana na watanzania kutokuwa na hiyo elimu.Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.
P
Uwe unajiita siku Moja kwa wiki kutoa darasa. Mana tunaburutwa kwa kukosa uelewa wa mambo ya msingi yanavyo tuhusu.Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.
P
Fafanua..Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.
P
Mkuu, naona kama una jambo unataka kusema lakini unapata kigugumizi...🤔Kiukweli Watanzania wanahitaji sana elimu ya katiba, sheria na haki.
P
Sio alienda Morocco kuhusu masuala ya dini??
Kumbe nawewe umebaini eeehh....😂Fafanua..
Based on what? Upotoshaji wa mwanasheria Tulia Ackson?
Tumia Jukwaa hili, shusha hiyo elimu. Tutakusoma na kusikiliza..
Mie nimesema tyuuh,Mbona hakwenda zamani
Paskali wa zamani siku akikutana na huyu Paskali, lazima watapigana aiseeee...Paskal ungepata msimamo ungekuwa katibu mkuu wizarani ila ukanunuliwa na lile kundi kumchafua hayati ulimuudhi sana