vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Mie nimesema tyuuh,
Paskali wa zamani siku akikutana na huyu Paskali, lazima watapigana aiseeee...
Ndiyo nimembaini huyu ndugu yangu Pascal MayallaKumbe nawewe umebaini eeehh....😂
Kardinali Pengo ameuliza swali la msingi: Je, Serikali ijenge uwezo wa Watanzania kujiletea maendeleo au kutumia mataifa ya nje kuwaendeleza Watanzania?Ni katika interview ya kimagumashi - gumashi hivi iliyoandaliwa (bila shaka na yeye mwenyewe Spika) kuzungumzia ishu ya mkataba wa uuzaji wa bandari za Tanganyika kwa waarabu wa DP World [Dubai]..
Amezungumza kidogo pia kuhusu wale wabunge 19 wa CHADEMA.
Mcheki vizuri huyo mwandishi na maswali yake anayouliza...
A puppet journalist. Yaani hana kaswali kamoja ka follow up baada ya swali kuu.
Hii nii ishara tosha kuwa kimama hiki kimeandaa kenyewe interview hiyo na kumpa maswali huyu bwana miwani ajifanye kuyauliza. Honestly ni maswali - desa haya maana hayamfanyi afikirie, hayana disturbance kwake...!!
Anyway, haijalishi sana. Lakini tunaweza kusema;
Hatimaye kinara wa bunge magumashi la CCM Spika Dr Tulia amejitokeza hadharani na kusema kuwa bunge bado halijapitisha Azimio la kuipa "go ahead" serikali kuendelea na utekelezaji wa makubaliano ya mkataba wa uuzaji wa bandari zote za Tanganyika za bahari na maziwa Kwa waarabu wa DP World..
View attachment 2660839
Ni katika kujaribu kuuzima moto uliowashwa na umma kupinga mkataba huu wa kipuuzi..
Sasa Kila mtu anaweza kuelewa ni kwanini naibu Spika Zungu aliamua kuitisha mkutano wa wana CCM wenzake jimboni kwake na kwenda na rundo la makaratasi eti kujaribu kushawishi watu kuona kuwa mkataba huo hauna ubaya wowote.
Mtazame na msikilize mwenyewe ktk video hiyo[emoji3516][emoji3516][emoji3516]hapo juu..
Jibu ni 👆 hakuna jingine.Na hawawezi kuwapatia hiyo elimu, maana wanajua wapo hapo walipo kutokana na watanzania kutokuwa na hiyo elimu.
Bunge letu ni DHAIFU by PR ASSAD.Very contradictory.
Hapa 👇👇👇walifanya Nini eti?
Pascal MayallaDodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023. ====== Leo Juni 10, 2023, Bunge la...www.jamiiforums.com
Kipuuzi kabisa hiki kimtu kilichoamua kuwa kihagula kabla ya umriNi katika interview ya kimagumashi - gumashi hivi iliyoandaliwa (bila shaka na yeye mwenyewe Spika) kuzungumzia ishu ya mkataba wa uuzaji wa bandari za Tanganyika kwa waarabu wa DP World [Dubai]..
Amezungumza kidogo pia kuhusu wale wabunge 19 wa CHADEMA.
Mcheki vizuri huyo mwandishi na maswali yake anayouliza...
A puppet journalist. Yaani hana kaswali kamoja ka follow up baada ya swali kuu.
Hii nii ishara tosha kuwa kimama hiki kimeandaa kenyewe interview hiyo na kumpa maswali huyu bwana miwani ajifanye kuyauliza. Honestly ni maswali - desa haya maana hayamfanyi afikirie, hayana disturbance kwake...!!
Anyway, haijalishi sana. Lakini tunaweza kusema;
Hatimaye kinara wa bunge magumashi la CCM Spika Dr Tulia amejitokeza hadharani na kusema kuwa bunge bado halijapitisha Azimio la kuipa "go ahead" serikali kuendelea na utekelezaji wa makubaliano ya mkataba wa uuzaji wa bandari zote za Tanganyika za bahari na maziwa Kwa waarabu wa DP World..
View attachment 2660839
Ni katika kujaribu kuuzima moto uliowashwa na umma kupinga mkataba huu wa kipuuzi..
Sasa Kila mtu anaweza kuelewa ni kwanini naibu Spika Zungu aliamua kuitisha mkutano wa wana CCM wenzake jimboni kwake na kwenda na rundo la makaratasi eti kujaribu kushawishi watu kuona kuwa mkataba huo hauna ubaya wowote.
Mtazame na msikilize mwenyewe ktk video hiyo☝️☝️☝️hapo juu..
Watanzania ni wajinga sana ndo maana twageuzwa geuzwa ka samaki.Sio alienda Morocco kuhusu masuala ya dini??
Hili bandiko lingewekwa kwenye post ya kwanza ya uzi huu kuonyesha update. Kufisha bandiko hili huku si sahihi!hauna ubaya wowote.
Halafu hatakiwi kuwa nacho kigugumizi kwa sababu "watoto wa nyoka" wanalindwa hawaguswi Hata wakisema ama kutenda tofauti na mtazamo wa haki wakiraia.Mkuu, naona kama una jambo unataka kusema lakini unapata kigugumizi...🤔
Ya kupinga bandari tu mkuu au na madini na gesi zetu?!!!
Pa kubwa sana.Nakazia Lianze Upya Tumepigwaa Ndugu Zangu
Issue siyo mwarabu! Issue ni mkataba mbovu. Hata kama angekuwa mzungu, mhindi, mchina au mjapani kwa mkataba huu HAPANA. Wabadilishe vifungu tatanishi maisha yaendelee. Wataalam wa sheria wameelezea vifungu hivyo lakini wana siasa wamekazana kutupigia ngonjera za wizi bandarini n.k. ina maana vyombo vyetu vya kulinda usalama wetu na mali zetu wameshindwa kabisa kuwadhibiti?Imeisha hiyo.
Kama nchi na wananchi hawaelewi chochote; Kama serikali itaforce basi matokeo yake yanaweza kuwa mabovu kabisa.
Serikali anzeni upya na muachane na mwarabu. Kama issue ni ile ya kupeperushwa kwenye lile jengo refu basi Samia aishie 2025 aingie Rais Mwingine asiye na makandokando hayo.
Sahihi kabisa.Issue siyo mwarabu! Issue ni mkataba mbovu. Hata kama angekuwa mzungu, mhindi, mchina au mjapani kwa mkataba huu HAPANA. Wabadilishe vifungu tatanishi maisha yaendelee. Wataalam wa sheria wameelezea vifungu hivyo lakini wana siasa wamekazana kutupigia ngonjera za wizi bandarini n.k. ina maana vyombo vyetu vya kulinda usalama wetu na mali zetu wameshindwa kabisa kuwadhibiti? Hao wageni wakiamua kutuibia tutaweza kweli kung'amua na kidhibiti wizi. Tujipange tu upya, viongozi wayapokee mapendekezo ya wananchi waboreshe mkatabsa wajenge uwezo wa wananchi kitekeleza majukumu yao na walinzi wa mali zetu waongezewe uwezo!!