Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilidhani wewe ni Mzee, kumbe sioImeuzwa lini hiyo bandari? Imeuzwa shilling ngapi? Amka usingizini kijana.
Hii ni serikali ya walanchi[emoji1787][emoji1787]Endelea na "vazi" lako la ujinga.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
mambo mazuri kama haya watu wachache hawayataki kabisaView attachment 2652601
DpWorld Jebel Ali Port angalia hawa jamaa wanavyopiga kazi natumaini ndani ya miaka michache Dar Port itakuwa hivi.
Kwa kweli ni aghalabu kusikiliza hotuba za hao walamba asali.Hivi ulimsikiliza Nape leo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilibaki kuduwaa, anamtisha mbowe wazi wazi.
Hana hata hoja, zaidi ya vitisho na kupovukwaa. Mweeh
Watakuambia walikuwa wanafamilia kupitia vishkwambi vyao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona viti vipo tupu WABUNGE Wameenda wapi? Au wamewaacha darasa la Saba ndio Kila siku wanaongea na kukandya wasomi?
Tuweke maslahi ya Taifa mbele kwanza.mambo mazuri kama haya watu wachache hawayataki kabisa
nakuhakikishia kwa mazuri utayoyashuhudia baada ya hili zoezi utakuja kujilaumu sana kwa hiki ulicho andikaHao wabunge tunaishi nao
Mungu tupe uvumilivu lakini usitulaumu mbele
Mtanganyika atasimamia wapi??
Ulikuwa na imani nao ?Napoteza imani nao.
LINAWEZANani anapeleka hiyo case? Jamhuri? Ipi hiyo??
nchi inakwenda kua kitovu cha biashara ni muda vijana kujikita katika biashara kwani badae mabilionea wengi wakubwa watajengeka hapaTuweke maslahi ya Taifa mbele kwanza.
Kama mnafikiri kutakua na ajira za kubeba Ndwika basi hilo sahauni. Pale ni mwendo mashine na remote tu kama vile unacheza game.Ajira za Bandari, na katika kuiendeleza maanake wataitanua ili ikidhi volume hapo tena kutakuwa na ajira nyingine.
Dhihaka hizi kwa Watanzania wenzako wanaopigania kesho yao sio nzuri.
Lakini kama zitaendelea kufujwa kuibiwa kwa kiwango hichi huku ripoti ya CAG ikipuuzwa sioni futurenchi inakwenda kua kitovu cha biashara ni muda vijana kujikita katika biashara kwani badae mabilionea wengi wakubwa watajengeka hapa
Muda ni milele....Naunga mkono mkataba huu, ni mkataba wa kimkakati, kuna vifungu viwili virekebishwe
1: Muda, labda uwe wa miaka 33, baada ya miaka 33 ikiwa mkataba utaenda vizuri tuongeze tena muda.
2: Kifungu cha kuvunja mkataba, kuwe na provision ikiwa kuna sbb kubwa na ya msingi mkataba tunaweza kuuvunja
Mengine yote ni mazuri, manufaa ni makubwa sana.
Hongera sana Mh. Rais wetu, Mama Samia