King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Endeleeni kujitekenya tu , tar 21 TAL anapigwa za uso......Kati ya wajumbe 1320 waliojitokeza kumsupport TAL hadharani hawazidi 60.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alisema nini ccm kirumba? Tuliokuwepo tulishangazwa sana na maneno aliyotamka kwa kinywa chake.Endeleeni kulishwa matangopori na huyo mhuni wenu
Mbona unaongea kwa tabu sana? Mbowe kwisha habari yake.Endeleeni kujitekenya tu , tar 21 TAL anapigwa za uso......Kati ya wajumbe 1320 waliojitokeza kumsupport TAL hadharani hawazidi 60.
View: https://www.youtube.com/live/3eUZr56l98U?si=Ri2UPJYSDc5O1vN2
Tuache Kudanganyana Mbowe hawezi kushinda huu Uchaguzi tuweni wa kweli na Mungu atatubariki Mbowe hatakiwi kabisa.
Mjumbe hata kama utapewa pesa toka CCM ili umchague Mbowe usifanye hivyo utakiua chama.
View: https://www.youtube.com/live/3eUZr56l98U?si=Ri2UPJYSDc5O1vN2
Tuache Kudanganyana Mbowe hawezi kushinda huu Uchaguzi tuweni wa kweli na Mungu atatubariki Mbowe hatakiwi kabisa.
Mjumbe hata kama utapewa pesa toka CCM ili umchague Mbowe usifanye hivyo utakiua chama.