Kwani alisema nini ccm kirumba? Tuliokuwepo tulishangazwa sana na maneno aliyotamka kwa kinywa chake.
Pili, mara ngapi anamsifu mwenyekiti wa ccm huku watu wetu wakitekwa,wakiumizwa na kuuawa?
Amedebweda sana na sio bure, atakuwa karamba asali.
Mbowe wa juzi sio huyu wa sasa