Duuhhhh CDA ilijitahidi lakini... mimi nilifurahia maana Dom kwa kiasi kikubwa inaendelezwa mbali na mji wa zamani. Kama mapichapicha yameanza napo sio poanasikia wamekabiziwa wazee wa kuvuruga manispaa ya jiji la Dodoma kutoka CDA iuliwe. Subiri kusikia MTU kapewa kiwanja katikati ya barabara
bado hats grofa za kuesabu naona nyumba za kawaida ndio nyingiJiji bado linajikongoja ila mwelekeo mzuri. View attachment 1045945View attachment 1045946View attachment 1045947View attachment 1045948View attachment 1045949View attachment 1045950
Sent using Jamii Forums mobile app
hyo ni angle tu ya picha zangu mtaalam.. na uwezo wa camera yangu. ukweli ni kuwa mji huu unaendelea kwa kasi sana japo kwa sasa ofcourse huwezi linganisha ni likes of Dsm na Mwanzabado hats grofa za kuesabu naona nyumba za kawaida ndio nyingi
hizo ni siasa mkuu Dodoma mjini kuimaiza unatumia SAA tano kwa gari haijapanuka vya kutoshahyo ni angle tu ya picha zangu mtaalam.. na uwezo wa camera yangu. ukweli ni kuwa mji huu unaendelea kwa kasi sana japo kwa sasa ofcourse huwezi linganisha ni likes of Dsm na Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ni ukweli imechoka usipaniki[emoji24][emoji36][emoji45] maana hata picha ni za kusuasua
Jengo refu Dodoma kwa sasa linagorofa 15 na nisababu ya kuwa kuna bonde LA ufa Dodomanasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20[emoji53][emoji19][emoji57]
hata mijengo ya gorofa 5 yakuesabu nasikia hakuna hoteli ya gorofa 5 kabisa mwisho gorofa tatu tena flow ya chini wamekodisha frem kwa ajili ya maduka na benkiJengo refu Dodoma kwa sasa linagorofa 15 na nisababu ya kuwa kuna bonde LA ufa Dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
Kwamba imeizidi ArushaAyo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wana mihemuko kwelikweli, wakati JPM akitoka madarakani patakauka kama mwanzo...Nakupinga kwa nguvu zote, labda useme miaka 10 ijayo(napo pia ni ndoto) na si miaka 3.
Naijua Mwanza, naijua Dodoma
We shombo kweli yaani huko kwenye ukame pampite nan...eti baada ya miaka 5ππππππAcheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app