Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma maji ni shida ..na Maji unayopata yamejaa chumvi ..maji ya dodoma hayafai kufulia nguo Wala kunywa ..labda kumwagilia mchicha ....hovyo kabisa
Unachekesha aisee...Mwanza iliyozungukwa na Ziwa bado kuna shida ya maji πŸ˜€πŸ˜€.Kati ya maji ya Dodoma na Arusha yapi yenye chumvi....umewahi kumwona mtu yeyote wa Dom ana meno au fizi za rangi kama wale wa ArushaπŸ˜€πŸ˜€
 
Five star hotel hiyo cheki
 

Attachments

  • 20230721_120945.jpg
    604.8 KB · Views: 11
  • 20230721_120751.jpg
    438.1 KB · Views: 9
Hii ni white elephant project Dom hakuna potential yoyte au uhitaji wa kujengewa Five star hotel
Unachekesha sana aisee private investor gani anaweza kuwekeza kwenye white elephant project...πŸ˜†πŸ˜†
Kwa kukusaidia tu Best Western Hotel ni moja kati ya top brands kwenye sekta ya Hoteli na utalii duniani πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Arusha na utalii wote tu Bado mahotel hayajai ije kuwa Dodoma?
 
Huyu mama anahangaika sana ....badala ashughulikie uhaba wa madawati nchini....huo uwanja faida yake nn
Toa upumbavu wako hapa, Madawati yalimshinda Mwendazake sio Samia.
Wivu,chuki na maumivu ndio vinakutesa 😁😁

Maelfu ya shule Mpya na madarasa yanayojengwa yote Yako full equiped
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…