Kivuli Cha mwendazake kinawatesa chawa ..na ndio mnagaragazwa kwenye tribunal case huko viena [emoji16][emoji16]..Toa upumbavu wako hapa, Madawati yalimshinda Mwendazake sio Samia.
Wivu,chuki na maumivu ndio vinakutesa [emoji16][emoji16]
Maelfu ya shule Mpya na madarasa yanayojengwa yote Yako full equiped
Huna hoja wewe nyumbuKivuli Cha mwendazake kinawatesa chawa ..na ndio mnagaragazwa kwenye tribunal case huko viena [emoji16][emoji16]..
Usifananishe Dodoma upumbavuWacha kuilinganisha Arusha na ujinga
Jamaa analinganisha Camp za Watalii na Jiji la Dom 😁😁Usifananishe Dodoma upumbavu
Jiji au jangwaJamaa analinganisha Camp za Watalii na Jiji la Dom [emoji16][emoji16]
Tofautisha Jiji na CampsiteJiji au jangwa
Duh hizi sio estate ni slums kama zile za City of God brazilDom Haina mshindani Nje ya Dar
Slums ziko Mwanza na Arusha ,Dom hakuna uchafu wenu huo.Duh hizi sio estate ni slums kama zile za City of God brazil
Acha ufala basi mwananjombe.Slums ziko Mwanza na Arusha ,Dom hakuna uchafu wenu huo.
Kila jengo unaloweka ni la wizara au taasisi hivi huko hamna miradi ya watu binafsi?Slums ziko Mwanza na Arusha ,Dom hakuna uchafu wenu huo.
Muonekano wa sasa wa jengo la kitega uchumi Anglican CathedralKila jengo unaloweka ni la wizara au taasisi hivi huko hamna miradi ya watu binafsi?
Hicho kijengo Toka 2016 haliishagi [emoji16][emoji16]Muonekano wa sasa wa jengo la kitega uchumi Anglican Cathedral
Hzi zote miradi ya serikali inamana Dodoma hakuna matajiri au watu binafsi?
Kwani majengo yote marefu hapo Arusha ni Mali ya nani kama sio Serikali?Hzi zote miradi ya serikali inamana Dodoma hakuna matajiri au watu binafsi?
Tofautisha parastal investment building na government buildings... majengo ya uwekezaji ya mifuko ya jamii sio ya serikali ni ya wanachama wa mifumo.. PERIOD!!.. dodoma wana vijengo viwili tu vya mifuko ya hifadhi... mengine ni ya wizara na taasisi za serikali [emoji16][emoji16]Kwani majengo yote marefu hapo Arusha ni Mali ya nani kama sio Serikali?
Ujinga mwingine ni zaidi ya mzigoTofautisha parastal investment building na government buildings... majengo ya uwekezaji ya mifuko ya jamii sio ya serikali ni ya wanachama wa mifumo.. PERIOD!!.. dodoma wana vijengo viwili tu vya mifuko ya hifadhi... mengine ni ya wizara na taasisi za serikali [emoji16][emoji16]