Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Toa upumbavu wako hapa, Madawati yalimshinda Mwendazake sio Samia.
Wivu,chuki na maumivu ndio vinakutesa [emoji16][emoji16]

Maelfu ya shule Mpya na madarasa yanayojengwa yote Yako full equiped
Kivuli Cha mwendazake kinawatesa chawa ..na ndio mnagaragazwa kwenye tribunal case huko viena [emoji16][emoji16]..
 
Iconic buildings of Dodoma City
IMGL0002.jpg
JENGO.jpg
Ministry_of_Foreign_Affairs_Dodoma_HQ.jpg
20230712_070500.jpg
IMG_20230129_163033_836.jpg
 
Kila jengo unaloweka ni la wizara au taasisi hivi huko hamna miradi ya watu binafsi?
Muonekano wa sasa wa jengo la kitega uchumi Anglican Cathedral
 

Attachments

  • 20230702_112405.jpg
    20230702_112405.jpg
    635.1 KB · Views: 6
Wakati mkiendelea kushangaa mapango ya ofisi za serikali...huku tunazidi kusimamisha vichuguu[emoji116][emoji116]
NB: not government funded
IMG-20230726-WA0005.jpg
IMG-20230726-WA0009.jpg
 
Kwani majengo yote marefu hapo Arusha ni Mali ya nani kama sio Serikali?
Tofautisha parastal investment building na government buildings... majengo ya uwekezaji ya mifuko ya jamii sio ya serikali ni ya wanachama wa mifumo.. PERIOD!!.. dodoma wana vijengo viwili tu vya mifuko ya hifadhi... mengine ni ya wizara na taasisi za serikali [emoji16][emoji16]
 
Tofautisha parastal investment building na government buildings... majengo ya uwekezaji ya mifuko ya jamii sio ya serikali ni ya wanachama wa mifumo.. PERIOD!!.. dodoma wana vijengo viwili tu vya mifuko ya hifadhi... mengine ni ya wizara na taasisi za serikali [emoji16][emoji16]
Ujinga mwingine ni zaidi ya mzigo
 
Hivi kwanza mi najiuliza Mikoa kama Mwanza ,dar na Arusha unakuta tajri anawekeza anajenga mall,ghorofa n.k ,hivi huko Dom hakuna matajiri au watu binafsi? Kwa kifupi ni hapana ,Dom uwezi ukaweka uwekezaji wowote ukaleta tija
 
Back
Top Bottom