1.Makao makuu ya Serikali(wizara zote,ofisi zote taasisi zote za serikali jumlisha😀😀)Dodoma ndo iwe na mchanganyiko wa makabila mengi kuliko Mwanza, unaota ndoto za mchana dogo
😀😀😀Unachekesha sana aisee kwani Mwanza hakuna viwanda vya pombe.Kubali matokeo tu Dom City imewakalisha kwa sasa.Mwanza mnawazidi Dom City kwa population tu lakini vigezo vingine vya kupima ubora wa mji hamuwafikii huo ndio ukweli mchunguj
Jamaa wewe utakuwa unaumwa sio bure😀😀😀Unachekesha sana aisee kwani Mwanza hakuna viwanda vya pombe.Kubali matokeo tu Dom City imewakalisha kwa sasa.Mwanza mnawazidi Dom City kwa population tu lakini vigezo vingine vya kupima ubora wa mji hamuwafikii huo ndio ukweli mchungu
Huwa najibu hoja kwa hoja ....facts kwa facts,michambo na taarabu peleka facebook kabishane na akina juma lokole😀😀😀Jamaa wewe utakuwa unaumwa sio bure
Jamaa boya balaa au huwa akisikia mwanza ni wasukuma anajua jiji zima ni wasukuma kama ilivyo Dsm mwanza kuna kila aina ya makabila hapo wamejazana, pia kuna mwanza mainlaind na mwanza Island, mwanza island kuna kila aina ya watu wamejazana huko acha kukalili, eti Dsm ikiwa ina population hapo sawa lakn mwanza ikiwa na population eti wasukuma wanazaliana, mitazamo ya hawa jamaa ni finyu na wivu tu,kuona mwanza ni Business city inayovutia watu kwenda kusaka maishaDodoma ndo iwe na mchanganyiko wa makabila mengi kuliko Mwanza, unaota ndoto za mchana dogo
.Miji mikubwa yote ina mchanganyiko wa makabila yote ya Tanzania lakini haiondoi ukweli kwamba kwenye hiyo miji kuna makabila ambayo ni ya asili ya eneo husika.Wasukuma ni dominant kwa hapo Mwanza ndiomana Kisukuma kinazungumzwa kilakona hadi ukienda sokoni au kwa mama ntilie unasalimiwa kisukuma bila kujali kwamba wengine ni wageni😀😀Jamaa boya balaa au huwa akisikia mwanza ni wasukuma anajua jiji zima ni wasukuma kama ilivyo Dsm mwanza kuna kila aina ya makabila hapo wamejazana, pia kuna mwanza mainlaind na mwanza Island, mwanza island kuna kila aina ya watu wamejazana huko acha kukalili, eti Dsm ikiwa ina population hapo sawa lakn mwanza ikiwa na population eti wasukuma wanazaliana, mitazamo ya hawa jamaa ni finyu na wivu tu,kuona mwanza ni Business city inayovutia watu kwenda kusaka maisha
Eti Upepo wa kisiasa...wakati mchakato ni endelevu😀😀.Mwanza na Arusha mshakalishwa chini tayari na Dom City simply kubali matokeo. Juzi nimekutana na jamaangu mmoja anafanya kazi NIMR kaniambia wanatakiwa kuhamia Dodoma very soon.Yaani maofisi na taasisi zote zitakapohamia Dodoma itakua ni balaa mara mbili ya sasa💥💥Mruke. mchutame, mjambe na mnye kabisa dodoma haiwezi kuizidi arusha. Wenge la upepo wa kisiasa kuipasha Dodoma imewaibilia miluzi ya ujinga.
View attachment 2704090View attachment 2704092View attachment 2704093View attachment 2704095
Kuweni na aibu basi hata kidogo.
Unachekesha sana aisee....maghorofa kwa Jiji la Dodoma hayana idadi ukiachana na yale ya Magufuli City kuna haya mengine nyuma ya Jakaya Kikwete Convention Center yanaporomoshwa kilasiku😀😀
Unacheki surface area ya majengo au unajiongelesha tuUnachekesha sana aisee....maghorofa kwa Jiji la Dodoma hayana idadi ukiachana na yale ya Magufuli City kuna haya mengine nyuma ya Jakaya Kikwete Convention Center yanaporomoshwa kilasiku😀😀
Dom is 💥💥💥💥Unacheki surface area ya majengo au unajiongelesha tu
Hatakuelewa juzi tu nimemtibu UTI ya ubongo kichwa Bado hakijakaa sawa.
Wewe ni kenge sana, huko ng'ong'ona na makuru kuna mijitu haijui hata kiswahili, ukienda kwa mamantilie utasikia mihanyenyii, sijui mara bukweni 🤣.Miji mikubwa yote ina mchanganyiko wa makabila yote ya Tanzania lakini haiondoi ukweli kwamba kwenye hiyo miji kuna makabila ambayo ni ya asili ya eneo husika.Wasukuma ni dominant kwa hapo Mwanza ndiomana Kisukuma kinazungumzwa kilakona hadi ukienda sokoni au kwa mama ntilie unasalimiwa kisukuma bila kujali kwamba wengine ni wageni😀😀
mkuu hzi picha unarudia Sana weka na nyingne SasaUnachekesha sana aisee....maghorofa kwa Jiji la Dodoma hayana idadi ukiachana na yale ya Magufuli City kuna haya mengine nyuma ya Jakaya Kikwete Convention Center yanaporomoshwa kilasiku[emoji3][emoji3]