ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa sababu ni nssf wanajenga naammin chuma kitatoka hapo si mchezo πNew 5 Star Hotel loading in The Capital City Dodoma ππView attachment 3028779
Hela nyingi sana hiyo kwa sehemu nje ya dar na dodoma convert hiyo gharama kwa barabara za lami uone unapata kilometer ngapiBilioni 31 ni pesa nyingi? Sera ya Nchi Kwa Sasa kipaombele ni wazawa Kwa kila sekta
Dodoma industrialization ππHela nyingi sana hiyo kwa sehemu nje ya dar na dodoma convert hiyo gharama kwa barabara za lami uone unapata kilometer ngapi
Dodoma Jiji ndio inaongoza Kwa kuwa na mtandao mkubwa wa lami za mitaa.Mtumba Mji wa Serikali ni zaidi ya km 50 peke yake ,Bado mitaa ya Mjini KatiUnaruka ulichokisema mkuu!?
Si ulisema Dodoma city kuna mtandao wa barabara hadi mitaani/street roads!?
Tuachane na hilo.
Mbona hata Tabora sasa hivi kuna mtandao mkubwa wa barabara na mainroad zote zimeunganishwa na mtandao wa barabara mkuu!?
Unachokieleza hapo kuhusu barabara mikoa mengine kinafanyika.
Dodoma hii inakua hatukatai TENA INAKUA SANA ila tuipe muda kaka musianze ipaisha sasa hivi.
Ipeni walau miaka 5 mbele kwanza.
Munawahi sana kuipamba.
Mkuu Dodoma inakua ila bado kuipaisha hivyo.Dodoma Jiji ndio inaongoza Kwa kuwa na mtandao mkubwa wa lami za mitaa.Mtumba Mji wa Serikali ni zaidi ya km 50 peke yake ,Bado mitaa ya Mjini Kati
Ajabu hii Sasa, yaani watu mnalingia Hadi baridi π€£π€£π€£Baridi la Arusha huwezi fananisha na la Dodoma we jamaa.
Arusha baridi lake exceptional.
Degree celsius za baridi la Aru hazifanani na Dom.
πππHamna mkuu tunamsahihisha huyo jamaa huwezi linganisha Aru na Dom kwa baridi.Ajabu hii Sasa, yaani watu mnalingia Hadi baridi π€£π€£π€£
Arusha ni pori pa kufugia tumbili na ngedere ndio maana mahoteli yamejaa Wazungu wanakuja kushangaa hao wanyama π€£π€£π€£Dodoma labda ije kuipiku Arusha baadae ila sio sasa.
Dodoma bado saanaaa na huu ukuaji wake unaolazimishwa na serikali ipo siku utakuja kukwama.
Huwezi fananisha Arusha na Dodoma bro,Arusha iko mbali sanaaaa zaidi ya Dodoma.
Nimetembea Swaswa,Chamwino,Ipagala na maeneo mengine ya jiji la Dodoma nimejiona kama natembea Temeke kwa Azizi Ally kuja Keko maduka mawili.
Bado sana na barabara za Dom zina viraka kibao aisee.
Kijiografia Arusha kubwa kuliko Dodoma.Arusha ni pori pa kufugia tumbili na ngedere ndio maana mahoteli yamejaa Wazungu wanakuja kushangaa hao wanyama π€£π€£π€£
πππππ¨ππππHahahahahaha mtabaki omba omba hadi mwisho wa dunia
Entebe ni Capital City? Pili Entebe ni sawa na KIA Airport iko Kilimanjaro ila inasevu Arusha..yaani mkuu unaamini kabisa kukiwa na airport mpya dom basi balozi zitahamia?ahahahah..sasa hv si airport ipo au mpaka International Airport?..well fahamu tu hata ikijengwa International Airport sio kigezo cha balozi kujaribu hata kuhamia dom..majirani tu hapo uganda embassy zote zipo kampala ila International airport ipo entebbe!..so preferred international airport kwa tz bado itabakia kuwa dsm na KIA kwa miaka mingi sana..sioni International flights zikija dom wakati hakuna abiria wa kutosha..hizi mambo ni economy na sio siasa!
Jiografia ya wapi? Mkoa au Eneo la Jiji?Kijiografia Arusha kubwa kuliko Dodoma.
Pia mandhari ya Arusha inapendeza kuliko Dodoma.
Tuongee uhalisia.
Haipaishwi,imeshapaa yenyewe.Mkuu Dodoma inakua ila bado kuipaisha hivyo.
Hapo ukitaja Mwanza ndio kabisaa Dodoma bado sana.Haipaishwi,imeshapaa yenyewe.
Arusha akapambane na uswazi mwenzie Mwanza ila Kwa Dom the Capital City hawezi
Nazungumzia mkoa.Jiografia ya wapi? Mkoa au Eneo la Jiji?
Dodoma City ndio inaongoza Kwa Ukubwa wa eneo la mraba ,takribani kilomita za mraba 2,500
Kwa mtu aliyetembea na mwenye exposure, Huwezi linganisha Arusha na Dodoma. Wala hata Dar es salaam haifiki Arusha., kwa viwango vya hospitality. Hospitality ya Arushaβ¦.inaelekea viwango vya Nairobi. Hata ukienda hotelini, menu ya Arusha ni kiwango. Hata accommodation, Usafi, wahudumu kujielewa, β¦Kiufupi Dodoma kufikia viwango vya Arusha badooo sana. Siyo leo wala kesho. Ukienda Arusha ukaagiza hata stakeβ¦.ni misosi kiwango.Naona umeamua kuikosea adabu Arusha
ππππππππππAcha utani wewe.Kwa mtu aliyetembea na mwenye exposure, Huwezi linganisha Arusha na Dodoma. Wala hata Dar es salaam haifiki Arusha., kwa viwango vya hospitality. Hospitality ya Arushaβ¦.inaelekea viwango vya Nairobi. Hata ukienda hotelini, menu ya Arusha ni kiwango. Hata accommodation, Usafi, wahudumu kujielewa, β¦Kiufupi Dodoma kufikia viwango vya Arusha badooo sana. Siyo leo wala kesho. Ukienda Arusha ukaagiza hata stakeβ¦.ni misosi kiwango.
Ila kama tunaangalia maghorofa ya vioo, basi nadhani Dodoma very soon ataipita hata Dar.
Soma kwa kutulia wewe Acha kukurupuka unaelewa maana ya hospitalityππππππππππAcha utani wewe.
Hiyo Arusha itaishinda Dar kwa mahoteli tu,ila kwa KUJENGEKA hakuna kama Dar.
Huko Arusha tumefika sio washamba sisi.
-Arusha kuna skyscrapers kama za TPA na Twin Towers!?
-Arusha kuna flyover!?
Arusha kuna bypass nyingi kuliko Dar!?
Kwa Tanzania miundombinu iliyoko Dar ni exceptional.
Hata hiyo Dodoma kamwe haitakuja kuipita Dar maana hata sasa hiyo Dar inajengwa kwa kasi zaidi.
Hiyo Arusha ndio KABISA haiwezi ikashindana na Dar es Salaam kwa miundombinu,Arusha hata Mwanza haiikuti.
Aisee hii comparison yako umechemka.