ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
πππ¨π¨Pori kama kawa
Si niliwaambia kosa kubwa sana wamefanya kupeleka mji nje alafu kuiacha cbd vileKwa CBD DOdoma ikon nyuma sana majengo marefu mapya machache sana angalau yale ya mtumba yangejengwa eneo la kisasa ingekaa vizuri
Vibe lipi bajaji, vumbi ama kulewa mbeya pazuri?Nilivofika mbeya mara ya kwanza tu haikunichukua dakika kujua ndio mji wenye vibe baada ya Dar
Data zimenithibitishia π
Tanzania City Review 2024: Dar es Salaam and Mbeya Emerge as the Most Economically Vibrant Cities
Dublin, Sept. 30, 2024 (GLOBE NEWSWIRE) -- The "Tanzania Cities Review" country profile has been added to ResearchAndMarkets.com's offering.The City Review report analyses key trends and developments in terms of economy, consumer lifestyles, housing and transport and city environment and offer...t.co
Flaiova ndani ya DomππKwa CBD DOdoma ikon nyuma sana majengo marefu mapya machache sana angalau yale ya mtumba yangejengwa eneo la kisasa ingekaa vizuri
Flaiova ndani ya Domππ
View: https://youtu.be/lAiqa94cBus?si=owagFWxpgBmg-CZR
My Take: Dom sio Jiji la Kishamba kama Mwanza kwamba Kila kitu kipo Mjini Kati
Medical Tourism Sasa ndani ya Jiji la Dom.View attachment 3113975
Kazi imeanza
Wivu ππVibe lipi bajaji, vumbi ama kulewa mbeya pazuri?
Endelea kujifariji wakati Dom imeanza kuwapora status yenu ya kuwa HQ ya taasisi za Kimataifa ππSi niliwaambia kosa kubwa sana wamefanya kupeleka mji nje alafu kuiacha cbd vile
Na asilimia kubwa ya wizara na idara za Serikali ziko katika hatua za mwisho za ujenzi wa majengo yake hapo mtumba nadhani hakutakuwa tena na majengo mengi mapya ndio maana hata mapato ya jiji yamepungua kutoka 70b hadi 30b kutokana na shughuli za ujenzi nyingi kuelekea mwisho.Si niliwaambia kosa kubwa sana wamefanya kupeleka mji nje alafu kuiacha cbd vile
Mm mbeya naijua kuliko ww mzee.Wivu ππ
Mbeya Iko busy yaani bustling City haijapoa kama Dom
Kama Mbeya unaijua kuliko Mimi,niambie kwanza Chuo Cha Adem Tawi la Mbeya limejengwa sehemu ipi?Mm mbeya naijua kuliko ww mzee.
Hakuna chaka silijui kuanzia mbeya mjini,wilaya zake hadi vijiji vyake.
Sijawah sikia chuo kinaitwa adem.Kama Mbeya unaijua kuliko Mimi,niambie kwanza Chuo Cha Adem Tawi la Mbeya limejengwa sehemu ipi?
Hujui Mbeya usirudie kujigamba ππSijawah sikia chuo kinaitwa adem.
Unfamiliar name.
Hata mimi nilijisemea imekuwaje tena π kama mahakama ya afrika ipo arusha ingekua vyema na bunge la afrika kuwa arusha ingeboost nafasi ya Tanzania kujiweka katika nafasi nzuri zaidi kama nchi kinara wa kidiplomasia afrika ila anyway hata dodoma ni Tanzania πΉπΏ ngoja tuoneEndelea kujifariji wakati Dom imeanza kuwapora status yenu ya kuwa HQ ya taasisi za Kimataifa ππ
View: https://x.com/TimesTanzania/status/1842997523411292584?t=E2hPRevZXaMqZeN7CBOcfQ&s=19
My Take:Kwangu binafsi naona ni habari njema Kwa Tanzania na Dodoma in particular lakini haiko sawa kimipango Kwa sababu Kwa Tanzania hapa Jiji ambalo limeteukiwa kuwa HQ ya Taasisi za Kimataifa ni Arusha,Sasa Kwa nini wasijenge huko huko Arusha waje kujenga Dom?
Kwangu binafsi haijakaa sawa kabisa ππ
View: https://x.com/dailynewstz/status/1843165845339668758?t=VCmyhJUgDjNUzLrf9BighA&s=19
Hapo bado stendi ya mbeya inajengwa pale old airport ni mjini itafanya mji kuwa active kama miji mashuhuri yote duniani bus terminals zinakuaga city centre sio Kama stendi ya dodoma ikifika saa mbili usiku hakuna lolote nlishawahi kutembea mbeya mitaa ya kabwe saa 5 usiku nlijihisi kama niko dar tu kwa Tanzania hii nasemaga siku zote kama kuna mji ungekua threat kwa arusha ni mbeya tu sio mwanza dodoma wala tanga hiyo miji haina vibe πWivu ππ
Mbeya Iko busy yaani bustling City haijapoa kama Dom