Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Kwa CBD DOdoma ikon nyuma sana majengo marefu mapya machache sana angalau yale ya mtumba yangejengwa eneo la kisasa ingekaa vizuri
Dodoma sio local City kwamba ijikusabye sehemu Moja.

Dom ni vibrant City ambayo Huduma zinasambaa everywhere
 
Acha kutudanganya bhana kusambaa every where sio vibrant, vibrant gani unasambaa kila mahali kama mfuko
Wewe ni mjinga eti,unajua hata urban planning kwanza au unapayuka tuu?

Bila ku diversify Jiji,hapo CBD patakuwa ni chaos.

Outdated and poor Cities ndio ziko kama kina Mwanza lakini Miji ya Kisasa na iliyosingamana inajenga CBD zingine Nje huko
 
Screenshot_20241020-200307.jpg


View: https://youtu.be/JjaFG5PmIjM?si=TX3Gs03D8lWWg7xE
 
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha.

Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa mbali kiasi kwamba machalii wa Chuga hawaelewi wahame au wasalie licha ya Serikali.

Serikali inajaribu kupambana Ili kuhakikisha hadhi ya Arusha kama kitovu Kikuu Cha Utalii haipokwi Kwa kufufua ujenzi wa Kituo Cha Kimataifa Cha Mikutano KICC,jengo la PAP,Makao Makuu ya Mahakama ya Africa ya Haki,Makao Makuu ya EAC na Baraza la michezo.

Hata hivyo Jiji la Didoma limeibuka Kwa Kasi na kuwa Jiji kubwa na la 3 Kwa wingi wa watu baada ya Dar na Mwanza kufuatia Msukumo mkubwa ukiofanywa na Hayati Magufuli Kwa Serikali kuhamia Dodoma na kuwasha mwenge wa ujuaji wa Jiji.

Dodoma Sasa ni kama kiwanda kikubwa ,Kimaoato Dom imeipiku Arusha na Mwanza just to rival Dar.Kwa maoni Yangu Baada ya Dar Jiji la ukweli Kwa Sasa ni Dodoma..

Dodoma City
View attachment 2726195
View attachment 2685450
View attachment 2685401View attachment 2685403



Arusha City
View attachment 2685446
View attachment 2685411View attachment 2685412View attachment 2685683
Dodoma ni hisani ya serikali ila Arusha wamepambana wenyewe yaani maendeleo ya mtu mmoja mmoja ila Dodoma bila majengo ya serikali ni Kijiji kilichochangamka.

Kiuchumi Arusha ipo juu
Kisiasa Arusha ipo juu
Mazingira Bora Arusha ipo juu
Miundombinu Arusha ipo juu
Population Arusha ipo juu
 
Back
Top Bottom