👉😂😂Unaleta ushabiki maandazi badala ya facts 👇👇
HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeongoza ukusanyaji wa mapato ya ndani katika kipindi cha miezi tisa kwa kukusanya shilingi bilioni 36.04. Akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya Halmashauri, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Selemani Jafo wiki iliyopita alisema kuwa katika kipindi cha
www.google.com
👉Unachekesha sana eti unalinganisha vyuo vikuu😂😂.UDOM pekeyake idadi ya wanachuo ni sawa na idadi ya vyuo vyote vya arusha jumlisha na sekondari zote😂😂.Hapo bado sijakutajia CBE,IRDP,LGTI,MADINI,St John n.k
👉👉Niletee takwimu za maghorofa ya Arusha Jiji tulinganishe na Dodoma Jiji....manake naona unajaribu kubadilisha topic kwenda mkoa wa Dodoma vs mkoa wa Arusha badala ya Dom City vs Arusha City.