Rudi shule aisee...umewahi kusikia popote tukio la ujambazi au wizi mkubwa ndani ya jiji la Dodoma?? Jiulize ni kwanini.Miji mingine yote mikubwa ya Tanzania ujambazi ikiwemo wa kutumia silaha ni kawaida sana.
Dom City is the only safest city in East and Central Africa(ukibisha uje na facts kama hizo apo juu)
Na hiyo yote inatokana na ubora wa mipango miji. Mji umepangiliwa kiusalama ndiomana hata majambazi wanaogopa kufanya uhalifu watakamatwa kiulaini tu.
Just imagine ufanye ujambazi katikati ya jiji utakimbilia njia ipi ...main roads zinajulikana,feeder roads zimepangiliwa hakuna vichochoro wala makazi ya ovyoovyo,kila upande wa Jiji kwamfano kuna kambi za Jeshi Ihumwa-njia ya Dar,Makutupora-njia ya Arusha,Msalato njia ya Arusha na Singida,Kambi ndogo ya Jeshi Ntyuka-njia ya Mvumi n.k