Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

πŸ˜€πŸ˜€WFP Liaison office Dodoma ipo zaidi ya miaka 20 ....sasa huko Arusha ndio mnashangaa leo na nyinyi kufikiwa.
Kwa taarifa yako tu mashirika karibia yote ya kimataifa yana ofisi jijini Dodoma kwamfano ...WFP,FAO,UNICEF,WHO,UNFPA,UNHCR/IMO,EGPAF,SAVE THE CHILDREN,PACT,PLAN INTERNATIONAL,PATH,JHPIEGO,ENGENDER HEALTH n.kπŸ‘‡πŸ‘‡

World Food Programme
4.4 (14)
Corporate office in Dodoma

Directions
Address: RQ72+GMG, Kikuyu Ave, Dodoma
Wanashangilia ujinga 🀣🀣🀣🀣

Dom inazidi ku close Gap ya magorofa with construction of new Six floor IAA campus building πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1767562757916836317?t=EQkvOlzlj1nrbsGB2o1hkg&s=19

View: https://youtu.be/rklat9tgPvc?si=4LuVaUCztmOIg5iS
-1927275158.jpg
-213357746.jpg
 
Coordination office na HQ ni vitu 2 tofauti,ndio maana huwezi ona WFP wakijenga structure Kali kama hii ya TBC HQ hapa πŸ‘‡View attachment 2932578

Pili hiyo ni lot 1 Kuna zingine 3 zinakuja.Mtajua hamjuiπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/C4adhPxujl6/?igsh=MXd6bTZzeW0yaTFhdQ==

Hahahaha sisi hatuhangaiki kama ninyi mnaotegemea government parastatals πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ huku tuna International organizations sio hizo taka taka Tibisii cherekoo cherekoo
 
πŸ˜€πŸ˜€WFP Liaison office Dodoma ipo zaidi ya miaka 20 ....sasa huko Arusha ndio mnashangaa leo na nyinyi kufikiwa.
Kwa taarifa yako tu mashirika karibia yote ya kimataifa yana ofisi jijini Dodoma kwamfano ...WFP,FAO,UNICEF,WHO,UNFPA,UNHCR/IMO,EGPAF,SAVE THE CHILDREN,PACT,PLAN INTERNATIONAL,PATH,JHPIEGO,ENGENDER HEALTH n.kπŸ‘‡πŸ‘‡

World Food Programme
4.4 (14)
Corporate office in Dodoma

Directions
Address: RQ72+GMG, Kikuyu Ave, Dodoma
Hizo ni matawi na sababu za kuwa na office dodoma ni coordination! Na serikali wala sio kuwa wamechagua dodoma by convenience.
Arusha ni natural attraction uliza kwanin wana office Arusha ambayo sio mji mkuu wala mji mkubwa nchini
 
Hahahaha sisi hatuhangaiki kama ninyi mnaotegemea government parastatals πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ huku tuna International organizations sio hizo taka taka Tibisii cherekoo cherekoo
Una kichwa kigumu kuelewa kama kuku.
Bila Serikali Arusha ni dampo kama madampo mengine.Kinachoitwa sijui international organizations ni taasisi kama za Serikali hazifanyi biashara kama hizo za Dodoma.

Mnapopigwa BAO na Dom ni kwamba Taasisi za Serikali ni nyingi kuliko hizo za Kimataifa.Zinazoitwa za Kimataifa hata 3 hazifiki na zingine zote ni Serikali 😁😁

Mwisho punguza wivu Dom ikupe dozi stahiki ya Capital City
 
Una kichwa kigumu kuelewa kama kuku.
Bila Serikali Arusha ni dampo kama madampo mengine.Kinachoitwa sijui international organizations ni taasisi kama za Serikali hazifanyi biashara kama hizo za Dodoma.

Mnapopigwa BAO na Dom ni kwamba Taasisi za Serikali ni nyingi kuliko hizo za Kimataifa.Zinazoitwa za Kimataifa hata 3 hazifiki na zingine zote ni Serikali 😁😁

Mwisho punguza wivu Dom ikupe dozi stahiki ya Capital City
Hahaaahaha nikikutana na ubishi nakuletea Takwimu?!!
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema umasikini upo vijijini zaidi. Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni
  1. Kigoma,
  2. Singida,
  3. Tabora,
  4. Dodoma,
  5. Kagera.
 
Hizo ni matawi na sababu za kuwa na office dodoma ni coordination! Na serikali wala sio kuwa wamechagua dodoma by convenience.
Arusha ni natural attraction uliza kwanin wana office Arusha ambayo sio mji mkuu wala mji mkubwa nchini
Dodoma ni makao makuu ya Chama plus makao makuu ya mihimili yote mitatu ya serikali..... Executive, Judiciary, Parliament
Arusha hakuna ofisi yoyote ya UNπŸ˜†πŸ˜†.Arusha walikua wanajivunia UN-ICTR ila ilishafungwa tangu enzi πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Hahaaahaha nikikutana na ubishi nakuletea Takwimu?!!
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema umasikini upo vijijini zaidi. Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni
  1. Kigoma,
  2. Singida,
  3. Tabora,
  4. Dodoma,
  5. Kagera.
Utabadili kila aina ya topics ila unachapwa na facts tupu.
Kitu pekee Arusha inachozidi Dom City ni sekta ya utalii na hoteli basi lakini Arusha haifiki hata robo ya Dodoma kwa vigezo vyote vya kupima ubora wa mji kwamfano...πŸ‘‡πŸ‘‡
-ubora wa mipangomiji(kiuhalisia afrika masharikiyote hakuna mji wowote unaokaribia)
-ubora wa miundombinu(Jiji lenye mtandao mpana wa barabara za lami na serikali inazidi kuwapendelea tuπŸ˜†πŸ˜†)
-ubora wa huduma za kijamii(na hapo serikali bado haijahamia yote full mpaka sasa ni phase 1 tu bado phase 2 na phase 3)
-uwepo wa mashirika na taasisi nyingi za serikali na kimataifa(mpaka sasa balozi ndogo mbili za ujerumani na uingereza tayari zingine zitafuata)
-security wise (sijawahi kusikia tukio lolote kubwa la ujambazi jijini Dodoma kama ilivyo kwa Arusha ambapo ujambazi,wizi,vibaka,mauaji ni sehemu ya maishayao)
 
Hahaaahaha nikikutana na ubishi nakuletea Takwimu?!!
Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amesema umasikini upo vijijini zaidi. Pia mikoa yenye wananchi masikini zaidi ni
  1. Kigoma,
  2. Singida,
  3. Tabora,
  4. Dodoma,
  5. Kagera.
Dodoma baby πŸ‘‡πŸ‘‡
20240312_163157.png
 
πŸ˜„ 🀣 πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜„ 🀣 hata kule Babati kwetu tunakuja kwa kasi ya ajab si uneona hekalu alilojenga muhaya.
Hatuna dogo sisi mafogo wanatuinua
Kama kwa nyie washamba kale kanyumba ndio hekalu basi mna safari ndefu sana kufikia level hizi za Jiji la Dom πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/dHc-IZeD6c0?si=TsLIKZKGXBrnLrnl

Hizo renders unazima hapo ndivyo majengo yote ya Wizara yatakuwa,kilichojengwa ni awamu ya 1 tuu ila kuja majengo 3 yaliyoungana Juu Kwa Juu kutoka Gorofa Moja kwenda jingine.

Yaani Bado hamjasema Hadi muombe poo 😁😁
 
Hila la makusanyo ya TRA kuna uhunu umefanyika wale walipa kodi wote wakubwa wa Mikoani wanalipishwa kodi Dar ilala kwenye kitengo cha Large Tax payers hivyo kuoka mikoa mingi mapato yaa makubwa. refer Billionea Mshobozi Babati.
Nashukuru sana Kwa hii pointi.Mara nyingi nimekuwa nasema yaani pesa zetu wa Mikoani Zinaenda kujengwa na kushughulikiwa Dar then tunaonekana hatuna mchango.

This stupidity must stop,hao TRA kwa nini wasiwe na Ofisi za walipaji wakubwa huko huko Mikoani?

Mali zetu nyingi sana zinavunwa Mikoani na Kupelekwa Dar eg chai,pareto,mkonge nk
 
Misitu ndio inaleta hewa nzuri hatunywi maji ya chumvi sisi
Campsite ndio zinaleta kodi/ dollars πŸ’΅ 🀣 😳 mkuu
Ukiona misitu mjini jua hapo ni Bush na wanaishi tumbili.

Hewa nzuri inaletwa na miti n uoto uliopangwa Kwa mpangilio sio unatuletea misitu.Jengeni Mji wenu kwanza.

Mwisho mbona mumeoza meno shida nini? 🀣🀣
 
Misitu ndio inaleta hewa nzuri hatunywi maji ya chumvi sisi
Campsite ndio zinaleta kodi/ dollars πŸ’΅ 🀣 😳 mkuu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚eti maji ya chumvi...kati ya Arusha na Dodoma wapi wakazi wake wameoza meno au meno yenye rangi rangi kama kenge πŸ˜†πŸ˜†
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚eti maji ya chumvi...kati ya Arusha na Dodoma wapi wakazi wake wameoza meno au meno yenye rangi rangi kama kenge πŸ˜†πŸ˜†
Dodoma nimeishi five year kwenye battle ya mkoa unaokua kwa kasi ni dodoma lakini Aruxha ni kelele ingine arifuuuu mkoa una utajiri mnooo huwez kuamini, watu wao tu wanaweka pesa mfukoni....dodoma kuna machimbo ya dhahabu pale nyarugusu........ita mabilionea wa aruxha alafu ita bilionea wa dodoma uwalinganixhe kama watalingana.....
 
Back
Top Bottom