ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama hayo mabweni ndio balaa zito na sie wa Capital City Dom tuiteje? ๐๐Balaa zito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hayo mabweni ndio balaa zito na sie wa Capital City Dom tuiteje? ๐๐Balaa zito
Moto ambao Dom inawapelekea Arusha & Mwanza sio wa Tzn hapa yaani lazima mjihami kuhamisha magoli ๐๐Tumeshavuka hapa tunajenga uwanja wa watu elfu30 na convention center ya kisasa
๐๐๐๐๐จ The Capital City ๐๐
View: https://youtu.be/_Kv7SJAKKfA?si=Bz1ukJ1IpwDSsxer
๐๐๐๐จ Bado hujasema Hadi useme ๐๐Tumeshatoka huko mkuu jitahidini muwe na pato hata nusu ya Arusha
A growing village ๐๐๐๐๐๐๐จ Bado hujasema Hadi useme ๐๐View attachment 2961485
Far Better off than Mwanza fishing Village and Arusha Camp site ๐๐A growing village ๐๐๐
๐ฅ๐ฅNaona full greenish alafu haters wa Dom City akina Mikdde na wenzake wanatwambia Dom ni jangwa,ukame,joto,vumbi,hakuna mvua,hakuna maji,hakuna miti wala hakuna ukijani๐๐๐๐๐๐จ Bado hujasema Hadi useme ๐๐View attachment 2961485
Huo ukijani wa msimu ...baada ya miezi miwili tunarudi misri ..[emoji91][emoji91]Naona full greenish alafu haters wa Dom City akina Mikdde na wenzake wanatwambia Dom ni jangwa,ukame,joto,vumbi,hakuna mvua,hakuna maji,hakuna miti wala hakuna ukijani[emoji23][emoji23]
Wewe acha uongo , kampeni ya kupanda miti na kuobadili Dodoma kuwa ya kijana Kwa Sasa inalipa.Huo ukijani wa msimu ...baada ya miezi miwili tunarudi misri ..
Huwezi pata eneo la mji wa dodoma likiwa na msitu hv ..kma lipo leta pichaView attachment 2961558View attachment 2961559View attachment 2961560
Leta picha ...sio maneno...au huko hamna wapiga pichaWewe acha uongo , kampeni ya kupanda miti na kuobadili Dodoma kuwa ya kijana Kwa Sasa inalipa.
Tangu lini miti ikakauka pale mjini?
Kule mnakokuonaga Jangwa hakuna hata miti ila baada ya miti kuanza kupandwa Hali Huwa hivyo through out.
Vipi Mbeya yenu umeshaiahirishaa kabisa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWewe acha uongo , kampeni ya kupanda miti na kuobadili Dodoma kuwa ya kijana Kwa Sasa inalipa.
Tangu lini miti ikakauka pale mjini?
Kule mnakokuonaga Jangwa hakuna hata miti ila baada ya miti kuanza kupandwa Hali Huwa hivyo through out.
Unachekesha sana eti Dodoma hakuna misitu๐๐๐Huwezi pata eneo la mji wa dodoma likiwa na msitu hv ..kma lipo leta picha
Bila picha ni ujinga tu...Unachekesha sana eti Dodoma hakuna misitu[emoji38][emoji38][emoji38]
-umewahi kufika Udom..?
-umewahi kufika Ntyuka/Imagi..?
-umewahi kufika Area D kwa Waziri Mkuu..?
-Umewahi kufika Msalato-Makutupora JKT
-Umewahi kufika Zuzu/Kizota Road..?
-Umewahi kufika Ihumwa JWTZ..?
-Umewahi kufika Mapinduzi-Kikombo Road..?
-Umewahi kufika pembeni mwa Jakaya Kikwete International Convention Center kama unaelekea Shoppers Plaza...?
-Umewahi kufika Changombe kama unaelekea Chuo cha Mipango kwenye misitu/bustani za CDA
Ukiweza kujibu haya maswali ndio tutajua kama kweli umewahi kufika Dom au ulikatisha tu njia kuelekea mkoani kwako [emoji23][emoji23][emoji23]
Humu sio studio ya kusafisha picha๐๐.Ukichapwa kwa hoja+facts kama kawaidayako utasikia leta picha๐๐๐Bila picha ni ujinga tu...
habari maelezo sio mahala pake hapa
Hamtakuja kamwe kuipita Arusha View attachment 2961772
Ndio msitu huo ..hayo machaka kwenye kambi za wakimbizi ...poor dodoma ..yaani hapo mnaona mmejengewa real estate nzuri [emoji2][emoji2][emoji2]Humu sio studio ya kusafisha picha[emoji3][emoji3].Ukichapwa kwa hoja+facts kama kawaidayako utasikia leta picha[emoji14][emoji14][emoji14]
Iyumbu Satellite City hiyo karibu na Udom....only in Dodoma proper planning huwezi kuipata popote East and Central Africa wewe endelea kujifariji tu ๐๐Ndio msitu huo ..hayo machaka kwenye kambi za wakimbizi ...poor dodoma ..yaani hapo mnaona mmejengewa real estate nzuri [emoji2][emoji2][emoji2]
Hicho nilicholeta ni nini? Mji wote una kijani,zile stori za uongo zimefika mwisho. Kule Udom kuko kama UdsmLeta picha ...sio maneno...au huko hamna wapiga picha
Wekeni picha vizuri kama hivi ๐Iyumbu Satellite City hiyo karibu na Udom....only in Dodoma proper planning huwezi kuipata popote East and Central Africa wewe endelea kujifariji tu ๐๐
Msiti tena? Dom sio Hifadhi ya ngedere? ๐๐๐๐Ndio msitu huo ..hayo machaka kwenye kambi za wakimbizi ...poor dodoma ..yaani hapo mnaona mmejengewa real estate nzuri [emoji2][emoji2][emoji2]